Jumatatu ya leo nimeanza kwa kumnenea yaliyo mema mke wangu kwani ndiyo uungwana!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,209
4,706
Hakika u mzuri ewe mpenzi wangu, hakika u mzuri! Macho yako ni kama ya hua nyuma ya shela lako, nywele zako ni kama kundi la mbuzi washukao katika milima ya Gileadi. Meno yako ni kama kondoo majike waliokatwa manyoya wanaoteremka baada ya kuogeshwa.

Kila mmoja amezaa mapacha, na hakuna yeyote aliyefiwa.
 
Hajanuna kweli umemfananisha na mbuzi mara kondoo walokatwa manyoya? wanawake sie tunajijua bora ungetafuta Verse za kina west life ila hizo wala anaweza asifurahi.
Yan nimuimbie nyimbo za westlife amkumbuke mpenzi wake wa kwanza.... #NEVER.. bora tuendelee na habari za kondoo na mbuzi๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Naomba kuwasilisha
 
yan nimuimbie nyimbo za westlife amkumbuke mpenzi wake wa kwanza.... #NEVER.. bora tuendelee na habari za kondoo na mbuzi๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Naomba kuwasilisha
Kabisaa.Kwanza hapo unapiga ndege wawil kwa jiwe moja.Mnaweza anza hata kuwaza ufugaji wa kondoo au mbuzi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hakika u mzuri ewe mpenzi wangu, hakika u mzuri! Macho yako ni kama ya hua nyuma ya shela lako, nywele zako ni kama kundi la mbuzi washukao katika milima ya Gileadi. Meno yako ni kama kondoo majike waliokatwa manyoya wanaoteremka baada ya kuogeshwa.

Kila mmoja amezaa mapacha, na hakuna yeyote aliyefiwa.
Mme Bora ufaa kuigwa
 
Back
Top Bottom