alikuwa brig.Suleiman Mungiya amekuwa CGP akiwa na rank Gani??
Hapana alikuwa Brigedia unajua hivi vyeo vya teuzi atakavyoamka mkuu ukakidhi vigezo utashangazwa tuuuualikuwa kanal.
na nikukumbushe tu hata anayetoa madaraka hurejea hadhi ya cheo husika kwa muongozo wa jeshi lenyewe.
jeshi la magereza halivushi watumishi askari17k.
jeshi la polisi lina watumishi askari zaidi ya 45k.
naam nimekumbuka,alikuwa ni brig tayari.Hapana alikuwa Brigedia unajua hivi vyeo vya teuzi atakavyoamka mkuu ukakidhi vigezo utashangazwa tuuuu
Wa PCCB kaongezwa last week sasa ni Meja Generalnaam nimekumbuka,alikuwa ni brig tayari.
system system system mķuu.Hapana alikuwa Brigedia unajua hivi vyeo vya teuzi atakavyoamka mkuu ukakidhi vigezo utashangazwa tuuuu
Alikuwa Brigedia GeneralSuleiman Mungiya amekuwa CGP akiwa na rank Gani??
Muroto Hana elimu Wala weledi wa kua IGP. Lakini Ni Bora Muroto awe IGP kuliko Mambosasa.
Mambosasa level yake Ni kua RPC Usweken huko Katavi.
Mtu sahihi wa kuwa IGP baada ya Simon N. Sirro ni SACP Camillius Wambura.Mzee Sirro amekaribia kustaafu, kwa nidhamu na maendeleo ya Jeshi la Polisi sisi tunaofuatilia utendaji wa Ma RPC tunaweza kusema Muliro atachukua nafasi ya Sirro.
Kwa namna alivyotuliza Mwanza, kwa alivyofanya kazi DSM na kwa anavyojiamini kwenye kujenga hoja natamani kuona yeye au watu wa aina yake wakikabidhiwa Jeshi kuliko kuwakabidhi aki Mroto au Mambo sasa
Muroto anavuta kasi tu nadhani polisi kuna wimbi la wastaafu linafuata ukiacha ambalo linaendelea JW.Huyo Muroto mwenyewe muda wa kustaafu ushaafika na hapo alipo anakula bandle
Soma tena ulichoandikaSiro katokea mbali sana toka akiwa RCO shinyanga miaka 2017 hadi 2018 RPC wake akiwa abdala msika badae akateliwa kuwa RPC tanga na mwanza nafasi hiyo aliopo anastahili
Haya ni majitu ya hovyo kabisaMzee Sirro amekaribia kustaafu, kwa nidhamu na maendeleo ya Jeshi la Polisi sisi tunaofuatilia utendaji wa Ma RPC tunaweza kusema Muliro atachukua nafasi ya Sirro.
Kwa namna alivyotuliza Mwanza, kwa alivyofanya kazi DSM na kwa anavyojiamini kwenye kujenga hoja natamani kuona yeye au watu wa aina yake wakikabidhiwa Jeshi kuliko kuwakabidhi aki Mroto au Mambo sasa
Hana unafuu wowote ni mtu wa hovyo sn, Lissu kapigwa risasi kweupe na watu kupoteswa, sioni unafuu wakeSiro katokea mbali sana toka akiwa RCO shinyanga miaka 2017 hadi 2018 RPC wake akiwa abdala msika badae akateliwa kuwa RPC tanga na mwanza nafasi hiyo aliopo anastahili
Utabiri umetimia😃Mtu sahihi wa kuwa IGP baada ya Simon N. Sirro ni SACP Camillius Wambura.
Aisee ...May 10, 2021Mtu sahihi wa kuwa IGP baada ya Simon N. Sirro ni SACP Camillius Wambura.
Ulikandamizia ramani ikatoka yenyewe hongera mkuu.Mtu sahihi wa kuwa IGP baada ya Simon N. Sirro ni SACP Camillius Wambura.