na kwakuwa anayekuja ni makamu wa rais wa nchi bingwa kwa kuzalisha makomandoo hivyo huenda hata watakaompokea hapa nchini tanzania wakawa ni makomandoo wa kitanzania ambao nao siku hiyo hiyo ambao kuna maandamano yamepangwa hawatakubali kuona uchafu uchafu au takataka zozote zile mabarabarani
andamaneni tu Vyumbani mwenu
andamaneni tu Vyumbani mwenu