007 De Souza
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 901
- 486
Kwenye nyimbo ya Jay more inaitwa Jipange aliimba ''salaam salaam kwa kaka voda millionea mwambie wadogo zako waache kula poda wale mmea'' akiwa na maana langa na mangwea waache kula madawa ya kulevya kama heroin na cocain wavute bange tu.
Lakiini Langa akamjibu kwenye nyimbo yake na kusema ''salaam salaam kwa kaka voda milionea mwambie mshikaji wako aache ushoga na uumbea'' Hiyo ilikua mwaka 2010.
stori3 jamaa ameandika huyu duh
namkubari sana hasa ule wa maisha ya bording nikiwa katoke seminar.father victor alinifanya nichukie shule
Mkiambiwa leteni ngoma zake 5 hamleti
Uyo hasheem unamjua ww na watoto Wa mizinga wenzio ila ukiwauliza watz watakwambia Mo n best ya uyo HASHEEM
jay Mo ,Mo technic n msanii ambae kaimba karibu mambo yote yanaihusu Jamii
He z real definition of Bongo hip hop
Tatizo wabongo mnapenda ubishi wa kijinga. Wapi nimeandika simkubali Jmo? Soma uelewe sio unakuirupuka kijana.
Hashim ndie yule aliechana kwny ngoma ya "Tunasonga" na Kikosi au
Umesema "uyu jamaa ukimtoa hasheem dogo sidhani kama kuna mtu atayemfikia kwenye tungo zake"
Sikukujibu kua umkubari jaymoo !! Nilikujibu Hasheem unamjua ww na watoto Wa mizinga wenzio
Unaanzaje kusema hasheem ana tungo Kali kuliko jaymoo !! Wakati yy alisikika jukwaani tu na jaymoo anackika nchi nzima
Mpaka apo jaymoo anatungo Kali kuliko uyo hasheem ndiomana kapasua kimziki
Jamaa hakuwa na bahati tu, ila yuko poa sana
Simuelewi huyu jamaa anaposema mchopanga ni jina chafuMkuu,
Mchopanga Kwenu ni tusi nini?
Labda unamaanisha jay melody#JayMoe... The GOAT.
The best Tanzanian vocalist of all time...
Personal issues with Jay Moe?Labda unamaanisha jay melody
Ashazoea Majina ya kizungu na kiarabuSimuelewi huyu jamaa anaposema mchopanga ni jina chafu