Mzee Mchopu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,031
- 268
Na uzee wangu huu umenitukana?? Loh mi na utu uzima wangu waniita MTOTO?? hii hatari ya Jf
Poe sana ndugu. Wewe ni mtoto mdogo sana kuweza kuyajua haya. Mengi niliyoandika yamekuwa yakitokea. Subiri soon utaujua ukweli
Wewe ni shga tu na hautakaa uache hiyo tabia.Mkuu, pole sana. Najua inakuuma sana kwa haya niliyoandika. Ila jukumu langu ni kuwahabarisha kile ambacho mlikuwa hamkijui
kWa hiyo kulikuwa na makubaliano ya siri..ambayo wananchi hatukutakiwa kuyajua?Humu watu wanacomment tu hawajua maafikiano na cuf na chadema juu ya kusimamisha rais na makamu wake
ndio ujengeji wa hoja wa bavich huu..Wewe ni shga tu na hautakaa uache hiyo tabia.
Duni alitaka kugombea uenyekiti wa cuf kuziba pengo la lipumba akawekewa pingamizi,uchaguzi ukaota mbawa na yeye amenuna hadi leoYuko wapi huyu babu alikuwa kivutio kikubwa sana kipindi cha kampeni daah, simsikii hata katika siasa za CUF maana alirudi tena chamani mwake
Du! mwambieni aje CCM tutampatia jimboDuni alitaka kugombea uenyekiti wa cuf kuziba pengo la lipumba akawekewa pingamizi,uchaguzi ukaota mbawa na yeye amenuna hadi leo
Katiba y cuf inasema mwanachama mpya haruhusiwi kugombea uongozi wa juu hadi atimize miaka miwili,sasa Duni ana miezi sita tu tokea ajiunge na cuf toka chadema!
Babu duni chali,kifo cha mende
Duni alitaka kugombea uenyekiti wa cuf kuziba pengo la lipumba akawekewa pingamizi,uchaguzi ukaota mbawa na yeye amenuna hadi leo
Katiba y cuf inasema mwanachama mpya haruhusiwi kugombea uongozi wa juu hadi atimize miaka miwili,sasa Duni ana miezi sita tu tokea ajiunge na cuf toka chadema!
Babu duni chali,kifo cha mende
Mkuu hiyo in katiba yao wenyewe cut sio ya nchi,na Duni alishiriki kuipitishaMatokeo ya sheria za kipuuzi chini ya serikali za kidikteta
Duni alitaka kugombea uenyekiti wa cuf kuziba pengo la lipumba akawekewa pingamizi,uchaguzi ukaota mbawa na yeye amenuna hadi leo
Katiba y cuf inasema mwanachama mpya haruhusiwi kugombea uongozi wa juu hadi atimize miaka miwili,sasa Duni ana miezi sita tu tokea ajiunge na cuf toka chadema!
Babu duni chali,kifo cha mende
Mkuu kumbukumbu zangu zinaonesha uliwahi kuwa muwakilishi wa cuf ArushaYaani Mwenyekiti na Katibu mkuu wote watoke Pemba wacha zako pamoja na kwamba mimi si mwanachama wa CUF hiyo kitu hakuna.