mpirani gonja
Member
- May 14, 2018
- 78
- 56
Atapata tu, ndani ya miaka 7 iliyobaki bado anasubiri msahau then msikie kitu, akina katambi ilikuaje kwani??;!!Hadi mwaka gani? Wewe unafikiri hivyo lakini mwenyewe imani hiyo imeshamtoka kabisa!
Atapata tu, ndani ya miaka 7 iliyobaki bado anasubiri msahau then msikie kitu, akina katambi ilikuaje kwani??;!!Hadi mwaka gani? Wewe unafikiri hivyo lakini mwenyewe imani hiyo imeshamtoka kabisa!
Katika watu ambao sikuwahi kudhani ni wachumia tumbo ni Mtatiro, nilijua heshima aliyopewa CUF ni kubwa na labda yeye ndiye angekuwa mrithi wa akina Lipumba na maalim Seif huko badae. Zitto peke yake ndio namuona atafia upinzani wengine siwaamini sana,.
Mtatiro yupo sahihi kwenda ccm kwa faida yake na kizazi chakeKatika watu ambao sikuwahi kudhani ni wachumia tumbo ni Mtatiro, nilijua heshima aliyopewa CUF ni kubwa na labda yeye ndiye angekuwa mrithi wa akina Lipumba na maalim Seif huko badae. Zitto peke yake ndio namuona atafia upinzani wengine siwaamini sana,.
Ngoja aisome nambaHuyo ni kama Ng'ombe aliyekatwa mkia, kajishauashaua kidogo pale mwanzoni, kakosa uteuzi, sasa kimyaaaaaaa!
Zitto atafia upinzani kama Magu ataendelea kumkazia hivi lkn ingekua enzi za JK wala Zitto asingekua mpinzani haswaa.Katika watu ambao sikuwahi kudhani ni wachumia tumbo ni Mtatiro, nilijua heshima aliyopewa CUF ni kubwa na labda yeye ndiye angekuwa mrithi wa akina Lipumba na maalim Seif huko badae. Zitto peke yake ndio namuona atafia upinzani wengine siwaamini sana,.
HahahahahhahaaKisiasa kwishney, ukuu wa wilaya ndiyo nafuu yake, mbw. Huyu