Julius Mtatiro hembu badilisha hiyo tishet bana...!!!

Julius Mtatiro hembu badilisha hiyo tishet bana...!!!

Sizinga

Platinum Member
Joined
Oct 30, 2007
Posts
9,541
Reaction score
7,372
Duh haka kajamaa bana, tangu nianze kumjua kwenye ulingo wa siasa yaani yeye ni tishet nyekundu na kofia nyekundu tuuuuuu...tangu ule mdahalo wa tbc,nikahudhuria tena mkutano wake mabibo na sinza, ule mdahalo wa itv movenpic, tishet ni hiyohiyo tu nyekundu...leo nimemuona tena mitaa ya manzese uzuri na tishet nyekundu tena..dah!!!au ndio sare za CUF hizi? au ndio mambo yalelyale ya sheikh yahya na masons? kama vp pitisha kapu kwenye vikao vyako tutakuchangia tu baba!!!au ndio ishara za katazo la JW??Eeeh yangu macho...........!!
 
Duh haka kajamaa bana, tangu nianze kumjua kwenye ulingo wa siasa yaani yeye ni tishet nyekundu na kofia nyekundu tuuuuuu...tangu ule mdahalo wa tbc,nikahudhuria tena mkutano wake mabibo na sinza, ule mdahalo wa itv movenpic, tishet ni hiyohiyo tu nyekundu...leo nimemuona tena mitaa ya manzese uzuri na tishet nyekundu tena..dah!!!au ndio sare za CUF hizi? au ndio mambo yalelyale ya sheikh yahya na masons? kama vp pitisha kapu kwenye vikao vyako tutakuchangia tu baba!!!au ndio ishara za katazo la JW??Eeeh yangu macho...........!!

Hii T-shirt ya mtatiro ni sare ya chama cha cuf katika campaign. Mi nimeipenda sana na nafikiri kwa mtatiro inampendeza. Ingawa nimeshawahi kumuona Mtatiro na Tsheti za rangi nyingine lakini nafikiri akiwa katika harakati za mapambano huwa anapenda Tsheti nyekundu.

Nakukmbuka wakati wa ile kesi yake ya uchochezi alitinga mahakamani na tsheti nyekundu halafu alinikosha zaidi na lile chama lililokuwa kifuani (ambalo nami nalisapoti) kabla hajahamia CUF. Hebu itazame hii picha!!
 

Attachments

  • Mtatiro.JPG
    Mtatiro.JPG
    23.1 KB · Views: 106
Mbona kuna wale wanaovaa magwanda ya mgambo kila siku huyu mwandishi hasemi yamemchosha?!
kweli kunya anye kuku akinya bata kaharisha!
 
Kuna mpaka wavivu wa kunya, unashangaa kuona hawa wavivu wa kufikiria? Teh teh teh!!!

Yale magwanda na vitambi vya akina Slaa na wowow za akina Marando ndiyo zinaniachaga hoi! Teh teh teh! :tonguez:
 
Back
Top Bottom