Julius Mtatiro anena haya

Julius Mtatiro anena haya

Vunga chalii mwenzako waitara alikuwa na jimbo we dau lako labda uenyekiti wa bodi ya maziwa
 
Hivi mtatiro bado anaamini kuna atakayemsikiliza tena nchi hii ?
 
Huenda hizi ni frustration baada ya Waitara kulamba dume halafu yeye tangu atimkie huko yupo yupo
 
Jiongelee wewe na CUF yako Chadema inaingiaje hapo? Kuna mkutano wowote uliotishwa na Chadema kukuzungumzia wewe Julius Mtatiro . tafadhali usitafute wa kufa nae. Umejimaliza mwenyewe kwa tamaa zako
 
Mwenzie fredd Mpendazoe kahangaika sana kuukashifu upinzani hapa JF mpaka kachoka kaamua kunyamaza sasa ni zamu yako na wewe Julius Mtatiro
Ukishaenda KIJANI basi na safari inaishia hapo hapo,MTATIRO na yeye kashakwisha ukienda kwenye instagram yake watu wanampiga za uso kuanzia coment ya kwanza hadi ya mwisho hakuna anayemsupport.
 
Na Julius Mtatiro
Nimeiona hoja ya ndimi mbili; kwamba zamani niliisema sana CCM, leo naitetea na najipendekeza CCM. Kwamba jana nilisimamia hiki, leo nasimamia kile.

Katika siasa hiyo ni CHANGE OF POSITION kulingana na wakati na maamuzi ya mtu au taasisi, nitawapa mifano miwili;

1. Baada ya Rais Karume Jr wa Zanzibar kushinda urais wa Zanzibar mwaka 2005, CUF ilipinga ushindi wake, ikakataa kutambua urais wake. CUF ilizunguka Zanzibar nzima ikihubiri kuwa uongozi wa CCM ni wa kidhalimu, uongozi wa Karume ni haramu na serikali ya Karume ipingwe usiku na mchana.

Baadaye CUF ilipojitafakari sana, hasa Katibu Mkuu Seif Sharif na viongozi wa Zanzibar wakaona ni muhimu kutafuta suluhu na Rais Karume ili mambo yaende.

CUF ile ile ambayo ilizunguka nchi nzima kusema Karume Jr hafai, ni mbaya na asiungwe mkono, ikaitisha mkutano Kibandamaiti kutangaza kumtambua Rais Karume kama Rais, kuitambua CCM kama chama kinachoongoza Zanzibar na na kutangaza kumuunga mkono Karume Jr.

Hiyo inaitwa CHANGE OF POSITION, CUF iliona haitaleta manufaa yoyote kwa Zanzibar ikiendelea na msimamo wa kipuuzi wa kutomtambua Karume Jr. Unaweza kuiita CUF ndimi mbili?

2. CHADEMA na viongozi wake (najua wanaongoza kunishambulia mitandaoni tangu niondoke upinzani), walifanya kazi kubwa ya kuueleza umma wa watanzania namna Lowassa alivyo mchafu na fisadi wa kutupwa. Mashabiki mmesahau?

Baada ya miaka 7 ya kumchafua Lowassa mwaka 2015 SUMMIT YA UKAWA (Viongozi wakuu; Freeman, Lipumba, Mbatia n.k) wakamleta Lowassa yuleyule kuwa mgombea Urais wa upinzani, nakumbuka kwenye kampeni za 2015 sote tuliogombea hatukuwa na option zaidi ya kumnadi Lowassa kama mgombea wa upinzani.

Halafu watu wale wale waliomtukana Lowassa kwa miaka 7 baadaye akawa mgombea wao nimewaona wanahangaika sana na Mtatiro, wanasema Mtatiro amefanya dhambi kubwa kujiunga CCM aliyokuwa anaipinga, au kumuunga mkono Rais JPM.

Wanasema Mtatiro ni Msaliti kwa kujiunga CCM. Hizi ni frustration za hali ya juu sana. Kwa sasa Mtatiro hawezi kuokoa kuzama kwa vyama vilivyojengwa kwenye misingi ya watu binafsi, vyama ambavyo mtu fulani akitoka vinakufa, vyama ambavyo vimeshindwa kwa miaka 20 kuishi yale ambayo vinayahubiri.
Siku hizi shortcut ya kupata uteuzi toka kwa Jiwe Kichaa ni kuishambulia Upinzani na hususan CHADEMA hata kwa hoja ya kijinga kiasi gani.
Mtatiro ukitaka uteuzi wa haraka katika hiyo singo yako ongeza kibwagizo cha kumsifia Magufuli kana kwamba huna akili nzuri
 
Mtatiro amekuwa na wakati mgumu kweli, na ikitokea pangua ya ma RC na MA DC asipopata nafasi anaweza kufanya kama mzee Yusuph kuachana na taarab, nae anaweza kusema kaacha siasa aanze kuandika kaswida.
 
Mwenzako alifunga vizuri mikataba yake jana kakamilisha usajili wewe umebaki kujing,ata vidole kumbuka mtatiro mpo wengi twende kwazamu
 
Mtatiro sema ukweli we si ulidai account zako zilifungiwa that’s why ulihama na pia ukadai mtoto wako alitaka kutekwa ukamkimbiza Nairobi Na kwa kua account zako zimefungwa unashindwa kumlipia ada ndio ukaona uende CCM au umesahau ulichokisema wakati unaenda kwenye usaili ili uende short course marekani ?
Haswaaa!
 
Mtatiro sema ukweli we si ulidai account zako zilifungiwa that’s why ulihama na pia ukadai mtoto wako alitaka kutekwa ukamkimbiza Nairobi Na kwa kua account zako zimefungwa unashindwa kumlipia ada ndio ukaona uende CCM au umesahau ulichokisema wakati unaenda kwenye usaili ili uende short course marekani ?
Haswaaa!
 
Na Julius Mtatiro
Nimeiona hoja ya ndimi mbili; kwamba zamani niliisema sana CCM, leo naitetea na najipendekeza CCM. Kwamba jana nilisimamia hiki, leo nasimamia kile.

Katika siasa hiyo ni CHANGE OF POSITION kulingana na wakati na maamuzi ya mtu au taasisi, nitawapa mifano miwili;

1. Baada ya Rais Karume Jr wa Zanzibar kushinda urais wa Zanzibar mwaka 2005, CUF ilipinga ushindi wake, ikakataa kutambua urais wake. CUF ilizunguka Zanzibar nzima ikihubiri kuwa uongozi wa CCM ni wa kidhalimu, uongozi wa Karume ni haramu na serikali ya Karume ipingwe usiku na mchana.

Baadaye CUF ilipojitafakari sana, hasa Katibu Mkuu Seif Sharif na viongozi wa Zanzibar wakaona ni muhimu kutafuta suluhu na Rais Karume ili mambo yaende.

CUF ile ile ambayo ilizunguka nchi nzima kusema Karume Jr hafai, ni mbaya na asiungwe mkono, ikaitisha mkutano Kibandamaiti kutangaza kumtambua Rais Karume kama Rais, kuitambua CCM kama chama kinachoongoza Zanzibar na na kutangaza kumuunga mkono Karume Jr.

Hiyo inaitwa CHANGE OF POSITION, CUF iliona haitaleta manufaa yoyote kwa Zanzibar ikiendelea na msimamo wa kipuuzi wa kutomtambua Karume Jr. Unaweza kuiita CUF ndimi mbili?

2. CHADEMA na viongozi wake (najua wanaongoza kunishambulia mitandaoni tangu niondoke upinzani), walifanya kazi kubwa ya kuueleza umma wa watanzania namna Lowassa alivyo mchafu na fisadi wa kutupwa. Mashabiki mmesahau?

Baada ya miaka 7 ya kumchafua Lowassa mwaka 2015 SUMMIT YA UKAWA (Viongozi wakuu; Freeman, Lipumba, Mbatia n.k) wakamleta Lowassa yuleyule kuwa mgombea Urais wa upinzani, nakumbuka kwenye kampeni za 2015 sote tuliogombea hatukuwa na option zaidi ya kumnadi Lowassa kama mgombea wa upinzani.

Halafu watu wale wale waliomtukana Lowassa kwa miaka 7 baadaye akawa mgombea wao nimewaona wanahangaika sana na Mtatiro, wanasema Mtatiro amefanya dhambi kubwa kujiunga CCM aliyokuwa anaipinga, au kumuunga mkono Rais JPM.

Wanasema Mtatiro ni Msaliti kwa kujiunga CCM. Hizi ni frustration za hali ya juu sana. Kwa sasa Mtatiro hawezi kuokoa kuzama kwa vyama vilivyojengwa kwenye misingi ya watu binafsi, vyama ambavyo mtu fulani akitoka vinakufa, vyama ambavyo vimeshindwa kwa miaka 20 kuishi yale ambayo vinayahubiri.
Julius Mtatiro Umefanya vijana wawadharau sana wana siasa wa watanzania bora ukae kimya
 
Siasa ni uwezo wa kusema kwa hakika nini kitatokea kesho na bado uwe na uwezo baadae wa kuelezea kwanini hakikutokea- Winston Churchill.
 
sawa, mtatiro njaa dawa yake ugali tu, mkumbushe mteuzi si unajua kanada hakuna balozi.
 
Kama hoja zake zina ukweli vile katoa na evidence nafikiri atapingwa kwa evidence pia. Siasa siitaki KABISAAAAA
 
Back
Top Bottom