Julius Mtatiro anena haya

Mwambie Mtatiro kwamba demu uliemuacha usisumbuke kumuongelea tena mbele ya demu wako mpya
 
Mtatiro bwana, kwa hiyo anataka kuwaambia Watanzania kuwa yote aliyokuwa akiinanga serikali hii mpaka hapo July 2018 yalikuwa ni uwongo na uchochezi!

Kuja kwa Lowasa Chadema hakuwezi kujustify ukinyonga wa mtu maana two wrongs dont make it right
 
Mtatiro siyo yeye anayeongea. ni zile 60M.
 
Mtatiro alikua ananitukana sana kuwa kwanini kama kijana nipo CCM, sina uwezo wa kufikiri..


Ila hakuweka akiba ya maneno, karibu Mtatiro CCM mimi sitakupa yale maneno yako makali.. Ubaya Mtatiro hayupo JF kwa I'd yake verified
Julius Mtatiro

Hiyo ni ID yake atakuwa kaitelekeza, huenda anayo nyingine fake
 
Julius Mtatiro acha UZWAZWA wewe ,Endelea kutumia fedha ulizoongwa za CCM acha MIPASHO,hata vitabu vya dini vinasema Mungu haweki agano na masikini mtu mwenye njaa maana masikini/mwenye njaa hubadilika(kigeugeu),umeona fedha za CUF zimepigwa pini,hauna hela ukaona ujisalimishe CCM.
 
Ajibiwe sio kumzodoa
Naomba nimjibu hivi- yeye kununuliwa na ccm ndicho kinachofanya hao wenzake wa miaka mingi wamchukie! Hilo tu,Na Lowassa anayemzungumzia naye pia hapendwi na maccm kwa kuwa naye aliasaliti na kuhamia upinzani tena baada ya kuwatoa jasho kwa zaidi ya miaka sita wakimtetea kwa kashfa ya ufisadi iliyokuwa ikimkabili,two wrongs can't make one right! Mtatiro ana laana ya wana Cuf halafu anailaumu chadema! Dr Slaa aliondoka chadema akiwa katibu mkuu!Lipumba aliondoka Cuf akiwa mwenyekiti,wote wanalaumiwa na vyama vyao kwa maamuzi hayo ila inategemea na dhamira yao na malengo yao huko waliko! Kwa hiyo Mtatiro hawezi kuwanyima watu haki yao ya kumshutumu ikiwa ni yeye ndiye aliyewapa sababu ya kumshutumu! Atulie,asonge mbele,na ataendelea kulaumiwa tu!
 
Kumbe tabia yako inaakisi mambo ya CUF eeh?
 
Mtatiro; kujibu unachoambiwa (hata utumie lugha ipi) hakubadilishi ukweli kuwa uliamua kujiuza au kununuliwa. Change of position hutokana na negotiation ambayo huzaa compromise. Mfano ulioutoa wa CUF kumuunga mkono Karume unahusisha compromises kwa kila upande.

Ccm hii uliyojiunga nayo imebadilika nini useme umeamua ku-compromise principles zako (kama ulikuwa kweli na principles zozote)? Ccm inazidi kuwa ya ovyo halafu utuambie ume-change position?

A five-year old wouldn't buy that. The bottom line is you have sold out your soul to the devil and as such you are now officially a turncoat.
 
Cdm wenzako walikua kimkakati Zaidi, walimshambulia Zaidi lowasa coz walijua ndo angekua mgombea wa ccm 2015.
 
Ukubali una hulka ya upopo au bendera, kufuata upepo. Inahitaji akili, uvumilivu na belief in core values kama democracy, freedom of speech, justice for all, good governance etc ku remain with UKAWA. Wewe sasa umeyapa kisogo hayo yote! Tukuite msomi?
 
Ameona chance ya teuzi , naona kainua kichwa aonekane.
 
Kwa maneno mengine siyo ustaraabu wanafiki kunyoosheana vidole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…