Nimefuatilia speech zake baada ya matukio haya.Malema anatafuta publicity tuu. Kapima upepo kaamua aunge hoja upande wa walio wengi.
Subirini miaka 10 ijayo biashara ndogondogo zikamatwe na wachina karibia zote then tuone kama hayajatokea ya SA.
Shida ya SA serikali imeshindwa kuzuia wahamiaji haramu wanaomiminika kwa wingi wakijua kuna maisha mazuri sababu SA iko katika viwango vya dunia ya kwanza.
Kitendo cha serikali kutodhibiti huu uhamiaji wa kiholela ndio kimeleta haya yote.
Serikali ya SA ikitaka itatue hili tatizo basi iwakusanye wahamiaji haramu woote iwarudishe makwao uone km kuna mtu atauawa.
Unforgetable
Ulishawahi kufika South Africa ndugu? Wasauzi ni watu wenye historia ya uhalifu na umalaya. Hata vurugu hizi wale wahuni wanavunja maduka ya wageni bkla kjjali yupi ana vibali halali vya kuishi sauzi. Kama vurugu za jana walikua wanajhnja tu na kuiba hata maduka ya wasauzi yamevunjwa na kuibiwa. Watafukuza wale wanaowaita undocumented foreigners lakini haitakua suluhisho hata kidogo.Malema anatafuta publicity tuu. Kapima upepo kaamua aunge hoja upande wa walio wengi.
Subirini miaka 10 ijayo biashara ndogondogo zikamatwe na wachina karibia zote then tuone kama hayajatokea ya SA.
Shida ya SA serikali imeshindwa kuzuia wahamiaji haramu wanaomiminika kwa wingi wakijua kuna maisha mazuri sababu SA iko katika viwango vya dunia ya kwanza.
Kitendo cha serikali kutodhibiti huu uhamiaji wa kiholela ndio kimeleta haya yote.
Serikali ya SA ikitaka itatue hili tatizo basi iwakusanye wahamiaji haramu woote iwarudishe makwao uone km kuna mtu atauawa.
Unforgetable
Kma mtu humjui bora ukae kimya kuliko kujifanya na wewe unacomment upate likes humu, Harakati za J.Malema sio za msimu, ni siku zote miaka yote. He is real freedom fighter, hana unafiki, huyu ni kama Lissu wa BongoMalema anatafuta publicity tuu. Kapima upepo kaamua aunge hoja upande wa walio wengi.
Subirini miaka 10 ijayo biashara ndogondogo zikamatwe na wachina karibia zote then tuone kama hayajatokea ya SA.
Shida ya SA serikali imeshindwa kuzuia wahamiaji haramu wanaomiminika kwa wingi wakijua kuna maisha mazuri sababu SA iko katika viwango vya dunia ya kwanza.
Kitendo cha serikali kutodhibiti huu uhamiaji wa kiholela ndio kimeleta haya yote.
Serikali ya SA ikitaka itatue hili tatizo basi iwakusanye wahamiaji haramu woote iwarudishe makwao uone km kuna mtu atauawa.
Unforgetable
haiko kwenye first iko secondMalema anatafuta publicity tuu. Kapima upepo kaamua aunge hoja upande wa walio wengi.
Subirini miaka 10 ijayo biashara ndogondogo zikamatwe na wachina karibia zote then tuone kama hayajatokea ya SA.
Shida ya SA serikali imeshindwa kuzuia wahamiaji haramu wanaomiminika kwa wingi wakijua kuna maisha mazuri sababu SA iko katika viwango vya dunia ya kwanza.
Kitendo cha serikali kutodhibiti huu uhamiaji wa kiholela ndio kimeleta haya yote.
Serikali ya SA ikitaka itatue hili tatizo basi iwakusanye wahamiaji haramu woote iwarudishe makwao uone km kuna mtu atauawa.
Unforgetable
Unahakika wanaodhuriwa na hao Wa S.A wote ni wahamiaji Haramu?Na je hata kama ndivyo,unadhani wa S.A wanatumia njia sahihi kutatua tatizo ?Malema anatafuta publicity tuu. Kapima upepo kaamua aunge hoja upande wa walio wengi.
Subirini miaka 10 ijayo biashara ndogondogo zikamatwe na wachina karibia zote then tuone kama hayajatokea ya SA.
Shida ya SA serikali imeshindwa kuzuia wahamiaji haramu wanaomiminika kwa wingi wakijua kuna maisha mazuri sababu SA iko katika viwango vya dunia ya kwanza.
Kitendo cha serikali kutodhibiti huu uhamiaji wa kiholela ndio kimeleta haya yote.
Serikali ya SA ikitaka itatue hili tatizo basi iwakusanye wahamiaji haramu woote iwarudishe makwao uone km kuna mtu atauawa.
Unforgetable
Kuna watu ni wazuri kwenye kukosoa tu si kwenye uongozi. Malema ni mmojawapoJamaa anatumia adrenaline sana..
Watu wa hivi ni wazuri wakiwa wanaharakati tu sio viongozi wakubwa kama marais..
Aendelee uanaharakati unamfaa sana
Nawewe umechafua hapo pa Lisu.Kma mtu humjui bora ukae kimya kuliko kujifanya na wewe unacomment upate likes humu, Harakati za J.Malema sio za msimu, ni siku zote miaka yote. He is real freedom fighter, hana unafiki, huyu ni kama Lissu wa Bongo
Kumbuka nae alisaidiwa kipindi kileMalema anatafuta publicity tuu. Kapima upepo kaamua aunge hoja upande wa walio wengi.
Subirini miaka 10 ijayo biashara ndogondogo zikamatwe na wachina karibia zote then tuone kama hayajatokea ya SA.
Shida ya SA serikali imeshindwa kuzuia wahamiaji haramu wanaomiminika kwa wingi wakijua kuna maisha mazuri sababu SA iko katika viwango vya dunia ya kwanza.
Kitendo cha serikali kutodhibiti huu uhamiaji wa kiholela ndio kimeleta haya yote.
Serikali ya SA ikitaka itatue hili tatizo basi iwakusanye wahamiaji haramu woote iwarudishe makwao uone km kuna mtu atauawa.
Unforgetable
Ndugu, nipo very open minded. Nakijua vizuri nilicho commentMsikilize sana utamwelewa, uwe tu open minded!