CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Ni mchezaji wa zamani wa Simba na Prisner na kocha wa zamani wa Simba. Asema huwa anachukia sana anapokuta watu vijiweni wakimponda JK.Sasa ameamua kutangaza nia ya kukombea ukatibu wenezi mkoa wa Dar ili apambane na maadui wote wa ccm na taifa kwa ujumla.
Chanzo:Radio uhuru-michezo leo.
Chanzo:Radio uhuru-michezo leo.