Mwanagandila
Senior Member
- Oct 9, 2011
- 182
- 100
Kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania Bara Kilimanjaro Stars Jamhuri Kiwelu (Julio) ameikimbia timu hiyo jana jioni na kuelekea Uarabuni.
Kocha huyo ameikimbia timu hiyo baada ya kufanya vibaya na kuzomewa na mashabiki kwa soka lake bovu toka siku ya wake wa kwanza dhidi ya Rwanda.
Kilimanjaro Stars leo inacheza dhidi ya Sudan kusaka mshindi wa tatu.
Swali kama alimfukuza Boban & Taita timu hiyo kwa utovu wa nidhamu, je na yeye kitendo alichokifanya anastahili kupewa adhabu kwa utovu wa nidhamu?
Kocha huyo ameikimbia timu hiyo baada ya kufanya vibaya na kuzomewa na mashabiki kwa soka lake bovu toka siku ya wake wa kwanza dhidi ya Rwanda.
Kilimanjaro Stars leo inacheza dhidi ya Sudan kusaka mshindi wa tatu.
Swali kama alimfukuza Boban & Taita timu hiyo kwa utovu wa nidhamu, je na yeye kitendo alichokifanya anastahili kupewa adhabu kwa utovu wa nidhamu?