PreGE2025 Juliana Shonza: Rais Samia ametufanyia Kazi nzuri, tumepata Hospitali ya Kisasa kwa Wanawake Songwe

PreGE2025 Juliana Shonza: Rais Samia ametufanyia Kazi nzuri, tumepata Hospitali ya Kisasa kwa Wanawake Songwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

upupu255

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
341
Reaction score
476
Mbunge wa Chang'ombe, Juliana Shonza, amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya kazi nzuri kwa wananchi wa Wilaya ya Songwe kwa kujenga hospitali ya kisasa. Shonza alieleza kuwa hospitali hiyo ina wodi ya wanawake, vitanda vya kujifungulia, na vitanda vya wodini vya kisasa.

"Wilaya ya Songwe, Rais Samia amefanya kazi nzuri sana, tumepata hospital ya kisasa ambayo imejengwa kwenye Wilaya ya Songwe. Wodi ya wanawake Vitanda vya kujifungulia na Vitanda vya wodini ni vya kisasa. Kata ya Chang'ombe hatuna deni na Rais Samia"

Soma, Pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom