Julai 12, 2015: Itakavyokuwa na itafahamika tu

Julai 12, 2015: Itakavyokuwa na itafahamika tu

KiuyaJibu

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2007
Posts
853
Reaction score
210
Acha waendelee kuchukua fomu tu hata wakifika 100, si ndiyo wanadai demokrasia. Ila wakati ukifika itafahamika tu.
 

Attachments

  • URAIS.jpg
    URAIS.jpg
    28.4 KB · Views: 1,355
Nani huyo hayumo?hahaha hapo watu wanawaza jinsi ya kumtazama usoni jamaa waliemlia pesa zake na kumjazia wadhamini ili kuitisha cc alafu na bado kapigwa panga
 
Acha waendelee kuchukua fomu tu hata wakifika 100, si ndiyo wanadai demokrasia. Ila wakati ukifika itafahamika tu.

hapo ni plan B tu unawacha na lichama lao, acha tu cc wajichanganye waone, iyo picha ulioweka hata kama ni ya kutania ilA kunakaukwel flAn
 
Back
Top Bottom