Naamini maelezo yako si msimamo wa admin wa Jamii forums.Kwa sababu kama wahusika wangekuwa na msimamo huo basi wasingeingia kwenye Internet,badala yake mijadala yote wangefanya kwenye kompyuta zao majumbani mwao.[/QUOangalia hapa!! hili ni nini?
Last Post
Dini/Imani
(1 Viewing)
Karibu, hapa si mahala pa mihadhara bali masuala kuhamasishana kiimani na kufundishana yale yaliyo mema. Aidha ni sehemu muafaka kuangalia mapungufu katika dini zetu na kuuliza maswali kwa waamini wa dini husika kuhusu imani yao. Contact Invisible to get access!
TitleBahati mbaya ilikuwa sijuwi kwamba Invisible ndiye anayeliendesha.Wewe unayefahamiana naye mwambie afanye mipango ili mtambo wake usizimike kila mara.Kwa sababu mimi hili jukwaa ndilo ninaloona litawapeleka wana jamii pema kwa anyetaka na pabaya kwa anayetaka.
Hivi ninavyoandika halipo.Limeshazimika.Title
Jukwaa hili hapa! kwanini unasema hulioni?
Last Post
Dini/Imani
(1 Viewing)
Karibu, hapa si mahala pa mihadhara bali masuala kuhamasishana kiimani na kufundishana yale yaliyo mema. Aidha ni sehemu muafaka kuangalia mapungufu katika dini zetu na kuuliza maswali kwa waamini wa dini husika kuhusu imani yao. Contact Invisible to get access!
Ami,Hivi ninavyoandika halipo.Limeshazimika.
Kwa jinsi huu msamiati wa udini unavyotumika kwengine hii dini ina uwezekano kwamba ni kama ya huko.Mfano tunasikia serikali haina dini lakini huwa inaumwa sana ukristo ukishambuliwa na hauna habari uislamu ukiumizwa. Kwa mfano kupitia sheria ya ugaidi.