Jukwaa la wototo wa baba

Jukwaa la wototo wa baba

Duuu yani ninaona aibu tupu

Lini nakaa kwenye kibanda changu?

But naona dalili mm nitakuwa mtawa kwetu
Mikoba ya ukoo yote ninayo na nahis nimeitoa kwa baba angu, so siwez kwenda popote
Hahahahahahhahaha me napenda tu kujiita hivo

Halafu mbona umesema n aibu kijana kuonekana anategemea wazaz mkuu? Wewe huoni aibu?
 
Ungekua ni watoto wa mama ningetia nanga hapa.. My dad is bitter when am close to him nikiwa mbali ndo anakua mshikaji..
Mwacheni mama aitwe mama kwakweli..
Rafiki nilitaka nikutag nikashindwa maana sijui kutag ...ila nilitegemea comment yako hapa hahahahahahahahh
 
Duuu yani ninaona aibu tupu

Lini nakaa kwenye kibanda changu?

But naona dalili mm nitakuwa mtawa kwetu
Mikoba ya ukoo yote ninayo na nahis nimeitoa kwa baba angu, so siwez kwenda popote
Mtawa ndiye anaomba hela kwa baba mkuu? Halafu me ngoja nikushauri unaweza kupanga hapo hapo kwenu ukawa unalipa kodi
 
Rafiki nilitaka nikutag nikashindwa maana sijui kutag ...ila nilitegemea comment yako hapa hahahahahahahahh
When tagging someone u start with @ then name without leaving a space...
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Rafiki mwenzio nilikumiss eti
 
Ungekua ni watoto wa mama ningetia nanga hapa.. My dad is bitter when am close to him nikiwa mbali ndo anakua mshikaji..
Mwacheni mama aitwe mama kwakweli..
Mm nikiomba hitaji lolote kwa mama hawez acha kunipa, but baba pekee huwa anaweza kuzuiya nisipewe.
So baba inakua ndio kila kitu
 
When tagging someone u start with @ then name without leaving a space...
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Rafiki mwenzio nilikumiss eti
Nilikumiss zaiidi rafiki ila sijui kutag...ngoja nijaribu hahhahhahahahah halafu kuna Uzi nilishindwa kukutag Hivi hivi
 
Mm nikiomba hitaji lolote kwa mama hawez acha kunipa, but baba pekee huwa anaweza kuzuiya nisipewe.
So baba inakua ndio kila kitu
Hahaaa baba nilikua nikimwomba kitu nakula matusi kwanza hafu mwenyewe tu atanipa.. Yes japo dingi bandidu ila kanidekesha upande flani hasa kuninunulia vitu. Pc, sim na nguo hafu hela
 
Nina maono pia
Nimepangiwa kukaa kwa baba, nina mengi nayaongoza kwa ukoo wetu na kuweka mambo sawa, lakni kwa sasa bado sina kitu,
Ajira hakuna
Elimu ya biashara baba hana,
Najipanga kumpa shule baba.
Ndipo nijikwamue
Mtawa ndiye anaomba hela kwa baba mkuu? Halafu me ngoja nikushauri unaweza kupanga hapo hapo kwenu ukawa unalipa kodi
 
Nina maono pia
Nimepangiwa kukaa kwa baba, nina mengi nayaongoza kwa ukoo wetu na kuweka mambo sawa, lakni kwa sasa bado sina kitu,
Ajila hakuna
Elimu ya biashara baba hana,
Najipanga kumpa shule baba.
Ndipo nijikwamue
Ni vizuri halafu kumbe wewe n Sawa na mzee wa ukoo ee....rafiki nitaanza kukusalimia sasa hahahahahahahah

Ila kujikwamua n taratibu taratibu tu wala usijal
 
Hahahaaaa, tatizo wao hawalitambui hilo, nawaza wakinipoteza itakuaje
Kwan hata mm nina mambo mengi kichwan.
Ni vizuri halafu kumbe wewe n Sawa na mzee wa ukoo ee....rafiki nitaanza kukusalimia sasa hahahahahahahah

Ila kujikwamua n taratibu taratibu tu wala usijal
 
Back
Top Bottom