Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Tumesikia kwamba Mwenyekiti wa Jukwaa la wahariri Bi Sakina Dotoo na Mwenyekiti wa MOAT Reginal Mengi uhusiano wa kikazi umedorora baada ya Bi sakina Kuikimbia IPP. kunatetesi kwamba Vyombo hivyo viwili ambavyo vikishirikiana kwa karibu vimevunja uhusiano wao kutokana na mtafaruku wa wenyeviti hao. wapi sasa waandishi wa habari nguzo yenu? natoa hoja jamvini