Mfwatiliaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,323
- 67
Wakuu,
nimengojea, bila mafanikio sioni hili jukwaa likirudi.
Tatizo ni nini jamani?
Utawala JF wengi tunangojea kwa hamu kubwa kuona likirudishwa.
Natanguliza shukrani, kwa niaba ya wapenzi wa jukwaa
nimengojea, bila mafanikio sioni hili jukwaa likirudi.
Tatizo ni nini jamani?
Utawala JF wengi tunangojea kwa hamu kubwa kuona likirudishwa.
Natanguliza shukrani, kwa niaba ya wapenzi wa jukwaa