Jukwaa la MMU inaweza kukosa mvuto kwa ajili ya jukwaa la Chit Chat,hii ni kutokana na members wa MMU kuhamia huku halafu
isitoshe huku mada zote zinajadiliwa.
Kwa sie wazee wa kitufe cha "new posts" hatuoni umuhimu wa jukwaa,hasa kinachobamba ni topic husika,iwe MMU,CHIT CHAT,Siasa,Elimu,etc!kama ina mashiko ndio hapohapo!
Kwa sie wazee wa kitufe cha "new posts" hatuoni umuhimu wa jukwaa,hasa kinachobamba ni topic husika,iwe MMU,CHIT CHAT,Siasa,Elimu,etc!kama ina mashiko ndio hapohapo!
Kwa sie wazee wa kitufe cha "new posts" hatuoni umuhimu wa jukwaa,hasa kinachobamba ni topic husika,iwe MMU,CHIT CHAT,Siasa,Elimu,etc!kama ina mashiko ndio hapohapo!