Kama wimbo wa Bwana Misosi, kila sredi utayofungua watu wanatajana majina.
Kuna haja ya kuharakisha mchakato wa jukwaa la salamu, maanake hata anayepost mada ya tofauti mwisho lazima amalizie "..fulani upo?" au "...wapi mkuu fulani?".
Uzuri uzi wangu haunilazimu kutajataja majina ili kuvutia coments, teh teh teh teh!