josepaintz
New Member
- Dec 14, 2018
- 4
- 0
Habariii memberz kuna mdogo wangu kamaliza shule 2014 anataka kwenda kusoma dit diploma anaweza kupokelewa? Ana C physcs C math C geog D chemistry na E english language???
Asnte nduguNenda kaulize shuleni huko
Sawa ndugujaribu kutembelea website yao mkuu, by then matokeo yake si mabaya.
Asnte nduguAnapokelewa but itategemea na Competition ya mwaka husika. Pia sijajua mfumo wa pre mature entry kama unafanya kazi till this late