nimie
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 525
- 104
Nimeshangazwa sana na kauli ya Samweli Sitta katika ufunguzi wa Jukwaa la Afrika Mashariki. Anasema litajumuisha nchi zote 5 na taasisi ya moja ya Ujerumani. Hivi kweli hatuwezi kufanya kitu chetu hadi tuombe msaada wa wazungu kutusimamia! Mbona tunajifanya viwete wa kufikiri na kufanya maamuzi?