Jukumu letu ni kukomesha siasa za kitapeli

Jukumu letu ni kukomesha siasa za kitapeli

CHADEMA, Bado sana kupewa nchi hii, wataivuruga vurugu, waibe watuachie majanga, twendeni hivi hivi na CCM yetu imara,tusihadaike kwa kauli tamu zenye kumtoa nyoka pangoni, mfumo uliopo chini ya CCM ni mfumo safi.
 
Wanaharakati ni kina nani hao?
Ni mtu yeyote yule mwenye mapenzi mema na taifa lake dhidi ya kikundi cha watu wachache waliojipatia madaraka kwa kupora haki ya mwananchi kumchagua kiongozi amtakaye.
 
CHADEMA, Bado sana kupewa nchi hii, wataivuruga vurugu, waibe watuachie majanga, twendeni hivi hivi na CCM yetu imara,tusihadaike kwa kauli tamu zenye kumtoa nyoka pangoni, mfumo uliopo chini ya CCM ni mfumo safi.
So far mmeshauza vitu vingapi?

Nyie Wazanzibar nyie mnakoelekea mtalia na kusaga meno
 
Jukumu letu sisi kama wanaharakati ni kukomesha siasa za kitapeli. Siasa za kitapeli ni kikundi cha watu wachache kujipatia madaraka kwa mtutu wa bunduki halafu wanadanganya kuwa wamechaguliwa.

#NoReformsNoElection .
Polisi ni kituko cha karne
 
Hongera sana Mdude_Nyagali kumbe ndio maana unaandamwa sana.
Wewe ni jabali kwelikweli kazi mwendo kazi unayofanya ya kujaribu kunyofoa nyama kwenye meno ya chui ni ngumu.
Mungu awatangulie katika yote
 
CHADEMA, Bado sana kupewa nchi hii, wataivuruga vurugu, waibe watuachie majanga, twendeni hivi hivi na CCM yetu imara,tusihadaike kwa kauli tamu zenye kumtoa nyoka pangoni, mfumo uliopo chini ya CCM ni mfumo safi.
“Waibe” ? Kuna chama chenye kashfa hiyo kama ccm🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

You can do better than that kaka
 
CHADEMA, Bado sana kupewa nchi hii, wataivuruga vurugu, waibe watuachie majanga, twendeni hivi hivi na CCM yetu imara,tusihadaike kwa kauli tamu zenye kumtoa nyoka pangoni, mfumo uliopo chini ya CCM ni mfumo safi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Mfumo safi au siyo?
 
Sio kuandika kitabu na wakupiga wananchi yaani Kila mtu anatafuta atoke kwa kuwatumia masikini. Pia uwe ivyo ivyo usitamani kuwa kiongozi Mana wew unawasemea watu uwe Kama mkatoliki ili ijulikane inawezekana una fake na kutafuta jina baadaye uingie bungeni ukae ndani ya v8 huna lolote nawaza ivyo. Yaani ukiomba ubunge tayAri najua unataka kuwala watu
 
mwandi
CHADEMA, Bado sana kupewa nchi hii, wataivuruga vurugu, waibe watuachie majanga, twendeni hivi hivi na CCM yetu imara,tusihadaike kwa kauli tamu zenye kumtoa nyoka pangoni, mfumo uliopo chini ya CCM ni mfumo safi.
mwandiko wa fisadi anayekula kwa urefu wa kamba
 
Jukumu letu sisi kama wanaharakati ni kukomesha siasa za kitapeli. Siasa za kitapeli ni kikundi cha watu wachache kujipatia madaraka kwa mtutu wa bunduki halafu wanadanganya kuwa wamechaguliwa.

#NoReformsNoElection .
ni muhimu zaidi kupuuza mambo ya kitapeli kwa wananchi ambayo hayana faida na yanadhoofisha ustawi wa demokrasia kama vile no reform no elections.

hiyo ni useless na completely nonsense katika nchi ya kistaarabu kama Tanazania 🐒
 
CHADEMA, Bado sana kupewa nchi hii, wataivuruga vurugu, waibe watuachie majanga, twendeni hivi hivi na CCM yetu imara,tusihadaike kwa kauli tamu zenye kumtoa nyoka pangoni, mfumo uliopo chini ya CCM ni mfumo safi.
Ndio muache ufisadi na ubinafsi.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
CHADEMA, Bado sana kupewa nchi hii, wataivuruga vurugu, waibe watuachie majanga, twendeni hivi hivi na CCM yetu imara,tusihadaike kwa kauli tamu zenye kumtoa nyoka pangoni, mfumo uliopo chini ya CCM ni mfumo safi.
Siku ya uchaguzi watu kama wewe ndo tunawatani ,Hatutakuua lakini walau upate majeraha ya mawe ya kutosha .Tumechoka
 
Mwalimu wangu Mwalimu Enea Mhando aliwahi kutwambia darasani siku moja kwamba, kujenga hoja sio kuongea kwa ukali huku umetumbua macho, bali kuhakikisha wanaokusikiliza waelewe unaongea nini.
Mfano, Mdude anaongea kwa ukali na kunyooshanyooasha mikono eti No Reform, No Election watu wanashangilia halafu Oktoba Uchaguzi Mkuu unafanyika kwa utaratibu uliopo sasa. Utawaambia nini uliowaambia awali No Reform, No Election?
 
CHADEMA, Bado sana kupewa nchi hii, wataivuruga vurugu, waibe watuachie majanga, twendeni hivi hivi na CCM yetu imara,tusihadaike kwa kauli tamu zenye kumtoa nyoka pangoni, mfumo uliopo chini ya CCM ni mfumo safi.
Unaogopa ccm ikitoka madarakani utakosa pa kula. Hata wapambe wa KANU hapo Kenya walikuwa na ngonjera hizihizi. Leo KANU haipo, na Kenya ina uchumi mzuri kuliko sisi tunaoburuzwa na ccm.
 
CHADEMA, Bado sana kupewa nchi hii, wataivuruga vurugu, waibe watuachie majanga, twendeni hivi hivi na CCM yetu imara,tusihadaike kwa kauli tamu zenye kumtoa nyoka pangoni, mfumo uliopo chini ya CCM ni mfumo safi.
nge-ke mkubwa wewe ,kwann ccm hamna uwezo wa kutofautisha nchi na serikali
 
Back
Top Bottom