Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 596
Kuna tatizo la kupata choo kigumu ambalo huwapata watu, tatizo hili husababisha kutoka uvimbe kwenye haja kubwa. Kama tujuavyo choo laini kinapatikana kwa kula matunda kama ndizi,mapapai nk pamoja na kunywa maji mengi sana. Lakini nimefanya utafiti siku za karibuni na kugundua kwamba Juice za Azam kama MANGO NA TROPICAL MIX pia zinasababisha mtu apate choo laini sana.
Sijaja kutangaza biashara hapa ila nawashauri wenye matatizo ya choo wanywe juice za Azam hasa za Tropical mix na Mango mara kwa mara na watapata majibu sahihi
NAWASILISHA
Sijaja kutangaza biashara hapa ila nawashauri wenye matatizo ya choo wanywe juice za Azam hasa za Tropical mix na Mango mara kwa mara na watapata majibu sahihi
NAWASILISHA