Judgement Miaka miwili Foramuni

Judgement Miaka miwili Foramuni

Ubarakiwe sana mkuu tunakutakia maisha mema marefu na yenye baraka tele.
Nalog off
 
Santeee mkuu nilikuwa sijui kama hiki kilimo cha maparachichi kinaweza kututoa,ngoja tukazane kwenye hiki kilimo ili nasi tutoke.
Nalog off

Habari ndo hiyo baabie-wana!
Kama hapo mlipo geografia ya miavocado haikubali , basi mwambie Shemeji mkazane kwenye migomba .
 
Kuvuka milima na mabonde mpaka kufika hapa bigi braza sio job ndogo! Sina budi kukupongeza sana!

Tusonge mbele.
 
Ha ha haa,
Hongera kwa kutimiza miaka miwili foramuni na kupewa ban moja tu.

Chagua wimbo ukuburudishe wewe na hawa uliyowatumia salamu
wakati wakikazana sana kulima marachichi.

1. mwallu
Ujumbe nammaindi .
2. Heaven on Earth ,
Ujumbe namzimia
3. Mamndenyi
Ujumbe nammezeamate

1. kabanga
2. Baba V
3. Washawasha
ujumbe kwa wote wakazane sana kwenye miparachichi , kwani kilimo chake kitawatoa!
 
Ujumbe wako ni murwaa kabisa,
Hasa wale dada zako wa kule holili wanajua kuhusu
faida ya marachichi kwani kule kwa mzee kinyata
wanayauza kwa bei mbaya.

Sijui tukafweke wapi pori ili tupande marachini Mwanyasi je kule maeneo yapo tena?
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haa,
Hongera kwa kutimiza miaka miwili foramuni na kupewa ban moja tu.

Chagua wimbo ukuburudishe wewe na hawa uliyowatumia salamu
wakati wakikazana sana kulima marachichi.

Afu wewe Mamndenyi siku nikifa utamchokoza nani?
Nway kuhusu machaguzi ya wimbo , tutafute pagala lililo pembezoni tukutanie humo ndo nikwambie "Mziki wangu" niutakao!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaa
Hauwezi kufa,

Mi nakuchagulia Tid - Zeze
ukuburudishe wewe mwenyewe na hao uliowataja kwenye salamu isipokuwa Mamndenyi

Unataka pagala eti eeh,
Ngoja nifanye risechi.


Afu wewe Mamndenyi siku nikifa utamchokoza nani?
Nway kuhusu machaguzi ya wimbo , tutafute pagala lililo pembezoni tukutanie humo ndo nikwambie "Mziki wangu" niutakao!
 
Ha ha haaa
Hauwezi kufa,

Mi nakuchagulia Tid - Zeze
ukuburudishe wewe mwenyewe na hao uliowataja kwenye salamu isipokuwa Mamndenyi

Unataka pagala eti eeh,
Ngoja nifanye risechi.

Kabla siku haijaisha nataka Risechi iwe imeshatoa Obzavesheni inkludedi Eksploresheni , in oda tu obtein solusheni az suun az posibo .
 
Back
Top Bottom