Hongera sana bestito mungu akupe maisha marefu ili uendelee kuienjoy humu jf kwa ban za kutosha
sijambo mkuu. mambo vipi?. miaHujambo figganigga?
pa1 sana. miaMzee wa 100 !
Pamoja mbele !
Thanks .
sijambo mkuu. mambo vipi?. mia
Mathalan wewe ladyfurahia ushawahi kula Ban ?
sijawahi kula ban hata kidogo bestito na najitahidi sana nisipewe hiyo ban kwani najua watu wanavyosumbuka hapa jamvini bestito tena naomba na wewe usiipate msimu unaokuja labda ule msimu mwingine wa uchaguzi wa maraisi wa tanzania kwani msimu ule ndo wtu wengi humu mjengoni watapata ban
sijambo mkuu. mambo vipi?. mia
Nyie figganigga na farkhina mbona mnanong'onezana maneno sie hatuyasikii ?
Afu mko gizani muda mrefu !
Afu majina yenu wote yanaanza na "F" !
Btw double F zinaweza leta maana ya FastaFasta !
Kun'nini ?
tukikazana kwenye migomba nafikiri ndio tutatoka kimaisha.Habari ndo hiyo baabie-wana!
Kama hapo mlipo geografia ya miavocado haikubali , basi mwambie Shemeji mkazane kwenye migomba .
Uache kuzua..
Ujumbe wako ni murwaa kabisa,
Hasa wale dada zako wa kule holili wanajua kuhusu
faida ya marachichi kwani kule kwa mzee kinyata
wanayauza kwa bei mbaya.
Sijui tukafweke wapi pori ili tupande marachini Mwanyasi je kule maeneo yapo tena?
kuzua Ndio kuzusha ...?
hongera bwa'shee Judgement.....nakumbuka ban yako ile ilikuuma hadi ukajitoa JF kwa muda kupinga kitendo hicho lol
Tupo pamoja "wazee" tupo kama kawaida