Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,655
I come in peace.
Huyu jamaa amekuwa akishutumiwa sana kwa kumsaliti Yesu, na kimsingi sio sahihi kabisa. Hii script ilishaandikwa kwamba lazima jamaa asalitiwe, kwahiyo hapa 'msaliti' ni mhanga pia, sababu alitumika tu kutimiza 'maandiko'. Kama Yesu mwenyewe alitamani kikombe kimuepuke, ila dingi akakomaa, Yuda angeanzia wapi kuukwepa huo msala?
Huyu jamaa amekuwa akishutumiwa sana kwa kumsaliti Yesu, na kimsingi sio sahihi kabisa. Hii script ilishaandikwa kwamba lazima jamaa asalitiwe, kwahiyo hapa 'msaliti' ni mhanga pia, sababu alitumika tu kutimiza 'maandiko'. Kama Yesu mwenyewe alitamani kikombe kimuepuke, ila dingi akakomaa, Yuda angeanzia wapi kuukwepa huo msala?