Na ili kumfanyia fairly akatangulizwa kuzimu kabla ya Yesu, kusudi Atubie uovu wake kule kuzimu.
Probably Yuda alisamehewa.
I come in peace.
Huyu jamaa amekuwa akishutumiwa sana kwa kumsaliti Yesu, na kimsingi sio sahihi kabisa. Hii script ilishaandikwa kwamba lazima jamaa asalitiwe, kwahiyo hapa 'msaliti' ni mhanga pia, sababu alitumika tu kutimiza 'maandiko'. Kama Yesu mwenyewe alitamani kikombe kimuepuke, ila dingi akakomaa, Yuda angeanzia wapi kuukwepa huo msala?
Mi nadhan mission ya Yesu ingetimia hata kama Yuda asingemsaliti, yuda aligeuzwa spy ili kuwapa wepesi wa kumkamata Yesu ila njia nyingine pia ingeweza kutumika kumkamata Yesu kama Yuda angekataa kusaliti. Kwaiyo Ni Yesu ndo aliona maono ya kinabii kwamba hapo baadae Yuda atakusaliti, kama ambavyo aliona kuwa Petro atamkana.
Ila sidhani kama ni ilipangwa kuwa lazma yuda amsaliti Yesu ili mission itimie.
Kwaiyo ni kitu Yesu aliona kama maono na sio mpango wa Mungu , labda tuseme shetani alifanikiwa kumuangusha Yuda, ndo maana badala ya kutubu kama Petro ili Mungu amsamehe yeye akaenda kujiua.
Haya mambo sio marahisi hivyo. Kuna kisababisho kilichopelekea Yuda kuingizwa kwenye scenario hiyo (cause and effect). Ni kweli, kuanzisha movie, ilikuwa lazima mtu mmoja awaonyeshe Yesu alipo, lakini kwa nini awe Yuda na sio mtu mwingine?I come in peace.
Huyu jamaa amekuwa akishutumiwa sana kwa kumsaliti Yesu, na kimsingi sio sahihi kabisa. Hii script ilishaandikwa kwamba lazima jamaa asalitiwe, kwahiyo hapa 'msaliti' ni mhanga pia, sababu alitumika tu kutimiza 'maandiko'. Kama Yesu mwenyewe alitamani kikombe kimuepuke, ila dingi akakomaa, Yuda angeanzia wapi kuukwepa huo msala?
Raia watachukua Muda kukuelewa!I come in peace.
Huyu jamaa amekuwa akishutumiwa sana kwa kumsaliti Yesu, na kimsingi sio sahihi kabisa. Hii script ilishaandikwa kwamba lazima jamaa asalitiwe, kwahiyo hapa 'msaliti' ni mhanga pia, sababu alitumika tu kutimiza 'maandiko'. Kama Yesu mwenyewe alitamani kikombe kimuepuke, ila dingi akakomaa, Yuda angeanzia wapi kuukwepa huo msala?
Haya mambo sio marahisi hivyo. Kuna kisababisho kilichopelekea Yuda kuingizwa kwenye scenario hiyo (cause and effect). Ni kweli, kuanzisha movie, ilikuwa lazima mtu mmoja awaonyeshe Yesu alipo, lakini kwa nini awe Yuda na sio mtu mwingine?
Hapo ukifuatilia, utakuta Yuda alikuwa na dhambi zingine kabla ya kutenda hii, na hizo zikavuta dhambi ya kusaliti. Wanafunzi wengine wa Yesu wasigemsaliti kwa kuwa walikuwa safi, kwa hiyo hawakuwa na kivutio cha dhambi nyingine.
Shetani hamfuati mtu msafi, bali mwenye dhambi. Na ndio maana hata baada ya tukio hilo (la kusaliti), aliendelea kufanya dhambi nyingine; alienda kujinyonga, ina maana hakutaka kutubu, alikata tamaa. Je, kukata tamaa sio dhambi?
Kwa hiyo unaweza kuona, dhambi moja inaanzisha nyingine, na shetani anazidi kukuandama! Kumbe tunaona, ukitenda dhambi (ukijikwaa), fanya toba, endelea mbele. Kamwe usione kwamba sasa nimefanya makosa, nimemuudhi Mungu, na kwamba hata nikifanya mazuri hayana maana mbele za Mungu, la hasha, Mungu ni mwepesi mno wa kusamehe. Mungu anapenda sana unyenyekevu wetu kwake, kwa hivyo tusikate tamaa pindi tufanyapo makosa!
Hata ya mbinguni hausiki piaMungu hausiki na maovu ya duniani.
AlimwambiaKwahiyo Yesu aliona jamaa yake akianguka na bado akamuacha aanguke, right?
Yesu hakuwa na dhambi, dhambi zetu sisi wanadamu ndizo zilizomgharimu Yesu mpaka kutolewa kafara. Hii yote inadhihirisha upendo wa Mungu kwetu (na ndio maana tunasema Mungu ni pendo). Yesu alitolewa kafara ili tupate kukombolewa, kafara haikuwa adhabu kwa kosa lake, bali kwa makosa ya binadamu.Kwahiyo na Yesu alikuwa na dhambi gani mpaka kutolewa kafara?
Na shetani pia alimjaribu Yesu, so Yesu hakuwa msafi, right?
Ukisema Mungu ni mwepesi kusamehe, how comes alilaani kizazi chote cha Adam na Hawa kwa kosa moja tu?
Mtu aliyejinyonga hana nafasi mbingun labda kaburini.