Jua status ya vyuo tanzania kuanzia july 2012

Anayebisha atoe rank yake.we hujui wame2mia vgezo vp halaf unabisha 2 bila hoja kisa chuo unachosoma kpo chin.bsha bas na havard sio cha 1 kidunia.
 
Jaman tungeangalia na vipezo wanavyotumia kuvirank hivyo vyuo. Mi nimeona kimoja wapo ambacho ni matumizi ya google scholar ambayo ndo inachukua 50percent wakati ubora wa elimu ni onl 15 percent
 
tabia zenu kuidharau UDOM haya semeni sasa, hata open wamefikia hatua ya juu sana

watu wajue kwamba elimu ni mipango sio maneno

vyuo vilivyomo page ya mwisho ya world ranking vitoke, viache mchezo

kwa mambo kama haya ukute mtu anamuona JAKAYA KIKWETE hafanyi kitu,

na mjue jakaya haendani na CCM ccm lazima iwe na makundi ili maendeleo yaje
 
Jaman tungeangalia na vipezo wanavyotumia kuvirank hivyo vyuo. Mi nimeona kimoja wapo ambacho ni matumizi ya google scholar ambayo ndo inachukua 50percent wakati ubora wa elimu ni onl 15 percent

unachozungumzia wewe ni chuo kikuu huria, kwa taarifa yako, hata hvi tunavyozungumza hapa ni online,

na wanasoma vitabu pia, wanaprof na madktr pia wanafanya tafiti kila upande shida yako ni kukaa arasani na

kumuangalia mwal, acha kuwa na mawazo wakoloni, tuondokeni huko jamani, tufanye kazi, hata wazungu kule ulaya hawakai darasani kusoma kila kitu. uliza wakuambie
 
yale matatizo ya darasa la 7 kupita kimagumashi kumbe hayakuanza leo

nikiwa na watoto kama wewe, najuzulu kuwa mzazi.....

horia nimekosea spelling kwa kukimbizana na muda, nilikusudia kuandika MAKUADI WA SOKO HURIA. wewe unaona ni tatizo la kumaliza std 7 bila kujua a wala b. sio kosa lako, kwani mawzo yako ni ya kuzalau utu wa mwafrika na kuona africa is nothing. ndiyo elimu unayoitafuta huko uliko. si ajabu ukawa unasoma kiswahili ughaibuni halu uje ufundishe tz na kenya. utachekwa wewe!!!!
 
nikiwa na watoto kama wewe, najuzulu kuwa mzazi.....

horia nimekosea spelling kwa kukimbizana na muda, nilikusudia kuandika MAKUADI WA SOKO HURIA. wewe unaona ni tatizo la kumaliza std 7 bila kujua a wala b. sio kosa lako, kwani mawzo yako ni ya kuzalau utu wa mwafrika na kuona africa is nothing. ndiyo elimu unayoitafuta huko uliko. si ajabu ukawa unasoma kiswahili ughaibuni halu uje ufundishe tz na kenya. utachekwa wewe!!!!

hapa pia ulikuwa unakimbizana na muda?
 
Tuache kushindana kwa majina ya vyuo. Sasa tuleteeni majina ya watu, vyuo walivyosoma na kazi wanazozifanya na maajabu waliyoyafanya huko waliko.
 
Asante mkuu sasa wewe jfanye chuo chako kiko juu hapa 2naangalia nan anakujua c unajua nn? Na kama wataangalia unajua nn? Ukubwa wa chuo aihusu mana watakuitavyuu na kua chuo chenye jna cio kwamba intervuu umepita.
 
issue sio kukariri,kizuri kinaonekana hata kwa macho..chuo kama mbeya inst of techn,tia havipo it means quality yake iko chini ya unv of znz..mchemsho mtupu

sasa bado unarudia kosa la kukariri,wewe unatumia kigezo gani? Kujua ubora?
 
Back
Top Bottom