Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,731
- 7,315
- Wako watakaofanikiwa kwa kufanya kazi kwa bidii
- Wako watakaofanikiwa kwa sababu wanajua kuna wengine wanajua mambo mengi ila hawajafanikiwa
- Wako watakaofanikiwa kwa sababu ya connection, wengine wana connection ila hawafanikiwa
- Wako watakaofanikiwa kwa sababu ya ujanja na udanganyifu
- Wako watakaofanikiwa kwa sababu ya kufurahisha watu fulani wenye uwezo na mamlaka
- Wako watakaofanikiwa kwa ubaya (wizi, utapeli, kuumiza wengine n.k), wengine watatumia ubaya hawafanikiwa
- Wako watakaofanikiwa kwa uaminifu na wengine watakuwa waaminifu na hawatafanikiwa
- Wengine watafanikiwa kupitia wake au waume zao
- Wengine wamefanikiwa kupitia majina ya watu wengine
- Wengine wamefanikiwa kwa kucopy kazi za watu wengine yaani wao ni mabingwa wa kuiga na wamefanikiwa