tahit
Member
- Aug 22, 2014
- 55
- 32
nawaambieni. huwezi kutoa kitu ambacho huna na ukiwa mchoyo usitegemee wewe kupewa. kama kweli furaha mnaitaka nilazima mtafute amani ndani ya nafsi zenu ndipo mtaweza kutoa na kupokea furaha na amani. na ukiamua kumfanyia mtu kitu ambacho wewe unahisi nikizuri usiweke matarajio ambayo yatakufurahisha nafsi yako. hapo ndipo maranying matatitzo huanzia
Kweli mkuu mimi pia ni muathirika wa hillo. Nimesamehe lakini nimehuta majuto ya firaoun.na athar zake bado ninaishi nazo.
Easier said than don