Mbona K'Njaro umeme umestabilize sana ni miezi kadhaa tupo na umeme asubuhi hadi jioni na usiku wote, ukikatika ni dk 1 na kurudi. Upo wapi?Huyu mwamba aliwezaje kuhakikisha anaondoa hii kukatwa umeme na mgao usio na mpangilio !? Na huyu mama anashindwa wapi hasa ?
Utakuwa umeme wa kenya huoMbona K'Njaro umeme umestabilize sana ni miezi kadhaa tupo na umeme asubuhi hadi jioni na usiku wote, ukikatika ni dk 1 na kurudi. Upo wapi?
Umeme ulimi UnakatikaHuyu mwamba aliwezaje kuhakikisha anaondoa hii kukatwa umeme na mgao usio na mpangilio !? Na huyu mama anashindwa wapi hasa ?