Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,219
- 14,822
alikuwa raisi wa kwanza ya malawi mwanamke alichukuwa pia uraisi kama makamu baada ya raisi aliyekuwepo kufariki, uchaguzi ulipofika alishindwa akaachia bila ya mauaji wala majeshi ingwaje alikuwa na makashi kashi ya kufunguliwa mashitaka na serikali iliyofuata kwa ufisadi lkn alishinda akarudi malawi leo anaishi malawi kama rais mstaafu na hata uchaguzi uliopita alishiriki bila ya mafanikio ...
hizi ndio accolades zake kwa mujibu wa wiki
''In June 2014, Forbes named Banda as the 40th most powerful woman in the world and the most powerful woman in Africa. In October 2014, she was included in the BBC's 100 Women ...''
lkn Joyce Banda ni Christian pia ...