Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 807
- 1,349
Jana niliamka usiku kunywa maji kibaoHii joto tusisahau kunywa maji mengi..
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Jana niliamka usiku kunywa maji kibaoHii joto tusisahau kunywa maji mengi..
Bwashee huko machame hakuna joto?tulieni hii ni Tanzania ya Kijani
ni kweli kabisa au nasema uongo ndugu zanguuJuhudi za mweshimiwa hizo, shukuru sana hata joto unapata
MI mambo ya kusikia matusi matusi mi staki
Mara jamaa, mara mkwara mbuzi,Duh we jamaa kumbuka maji yana hesabu zake
Utapata cardiac overload then kifo, kwanza siamini
Huo mkwara mbuzi
Weekend hope ipo safi hapa.. boss 🥸MI mambo ya kusikia matusi matusi mi staki
...serikali inatakiwa ifanye jambo kwani wanaoumia na hili joto si matajiri bali ni wanyonge na maskini....Serikali ya wanyonge,[emoji3] maisha yanatupiga jua nalo linatupiga.
Unafanya niniWeekend hope ipo safi hapa.. boss 🥸
Nipo boss wangu.. nimelala 😊😊Unafanya nini
Haya usiku mwemaNipo boss wangu.. nimelala 😊😊
Asante boss wangu na kwako piaHaya usiku mwema
Haya usiku mwema
Haaaaa Haaaaa 😂 jamani, mimi kanishinda yule, staki urafiki nae tena, nipo huku kwenye majoto kwanza ntarudi chuga kula xmas 🎄Niko kijenge ya juu,yule best yako mbabe kaleta vurugu hatari sehemu
DuuuhHili joto unakunywa maji Lita 20 per day sasa usiku umeme umekata nipo nimelala zangu nikastukaaa godoro limelowaaa nikajisemea nimejikojolea hapana! Au kuna mtu kanimwagia maji nikanyata nichungulie chumba cha pili km kuna dalili ya mtu aliingia kunimwagia maji hola,,, nikakuta wapo utupuuu daadeck nilirudi baluuu.
Joto hili hatushikani ovyo yaani mtu akikugusa tu unamchabo kisura mbuzi.