Joto Kali Dar

Mimi sikulisikia kabisa hilo joto kwa sababu nyumbani kwangu nina AC, kwenye gari kuna AC, ofisini kuna AC, kwa hiyo kwa hali kama hiyo joto mnasikia nyie walalahoi tu. Mtaisoma namba
ngoja na mimi nianze KUKWEPA KODI,ili niishi kama wewe mkuu.
 
Ukute mkuu upo Mfindi huko.
ha ha haa,umenikumbusha enzi za chuo,tulikuwa sometimes tunapitia mlimani city kula kipupwe,tulikuwa tunapaita jina hilo(mufindi).
utasikia tu wana wanakomaa kuwa oi tukitoka mwenge tunapitia kwanza MUFINDI,then mengine yatafuata..
 

CHADEMA NA LOWASSA WANASABABISHA JOTO

MUULIZE SHEIN
 
Kuzidi kwa joto kunatokana na kupumua(mvuke) wa moto waJAHANNAM......By Muhammad(s.a.w)
 
Nowadays

Thanks mkuu kwa maelezo yako mazuri.
 
Asante sana Akhy. Yaani joto joto joto. Nje hakutokeki na ndani hakukaliki. Watengeneze tu makoti ya barafu aisee.
Ha ha ha ha ..sasa hiyo mpya makoti ya barafu si yatayayuka kwa joto? Mie nina ufumbuzi wakuwatoa ktk dhiki hilo.... ila kuna gharama yake!! Mtaiweza????
 
Reactions: Paw
Mtaisoma number..si mnajifanya hamumjui mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…