PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Huyu dogo mpga kelele akaweke mambo sawa jimbon na nyumban kwao kwanza aache ukanjanja kna mbowe,zito wanamake yeye anarukaruka tu huyu mjinga
Huyu nayee mkatamigomba anaweza kitu kweli, wameru bwana, wanakatakata miomba, huko monduli hamna migomba bwana nassary, rudi tu nyumbani kwani hapo unapoteza mda na fedha nyingi,
Hizo ni siasa chafu. Wako wapi tume ya uchaguzi wakiondoe CCM kwenye uchaguzi husika? Wapi msajili wa vyama vya siasa atoe tamko?
...tuwekeeni picha ya huyo mtu akiwa ameshapendeza rangi nyekundu tafadhali...