PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Tumemkuta katibu wa tawi la CCM kijiji cha Naiti, anaitwa Peniel Olodi akikusanya shahada za kupigia kura za wananchi wa kata ya Makuyuni hii ni sehemu ya daftari la majina na namba za shahada zao. Wanchukua shahada za wapiga kura wenye mwelekeo wa upinzani, kisha wanawapa fedha na kubaki na shahada zao. Hii inaonyesha jinsi gani CCM na Lowassa wapo hoi.
SOURCE:- Josh Nassari.
SOURCE:- Josh Nassari.