Hata mimi nilijiuliza sana hili swali, joyce mukya, rebeca mngodo na cessy pareso anayetegemea kuapishwa hawawezi kusimamia jimbo???Arusha haina mbunge wa viti maalum? au Kilimanjaro hakuna viti maalum. Nadhani ni mzigo mkubwa sana kwa Nassari kuongoza majimbo mawili yenye matatizo mazito.