Baba Jotham
Member
- Mar 6, 2012
- 84
- 40
a wale ambao hawakupata bahat ya kuhudhuria mkutano wa chadema ambao umeisha mda mfupi uliopita,hatma yake ni kwamba CHADEMA inakata rufaa jummane kupinga hukumu ya Lema.Cha zaidi ni kwamc Lema amepewa kaz ya kutembea Tanzania nzima kusambaza harakat za ukomboz kwa muda huu mfupi ambapo yupo likizo.Jimbo la Arusha mjini kwa sasa litakuwa chini yadogo janja (Joshua Nassar) akimwangalizia mbunge lema
8 minutes ago · Like · Remove
8 minutes ago · Like · Remove