LENGEJU BOB
Member
- Nov 1, 2010
- 53
- 31
Kulikuwa na ulazima gani wa kuunda tume kama tayari mlikuwa na majibu?
Mliounda tume kwa minajili ya kutafuta jukwaa la kutukana wazee?
Hivi ofisi ya waziri mkuu na ofisi ya makamu Rais walitoa maoni ya dhati au ya kisanii?
Je maoni yalitolewa kama chambo cha kutafutia sababu ya kumtukana Warioba?
Kwa umri alionao huyu mzee atake kuvunja Tanzania ili apate nini hasa?
Sisi wengine ni watazanzania halisi, tumelelewa kitanzania na kufunzwa adabu na heshima kwa wakubwa.
Hatukufundishwa kudhihaki waliotuzidi umri, achilia mbali waliotuzidi elimu, uadilifu na uzoefu.
Ninyi watoto mnaotukana wazee mmefilisika adabu, na nyie wazee mnaotukana wazee wenzenu mnahitaji kupimwa akili.
Usikose kusoma makala hii ndani ya Gazeti la Raia Tanzania, Alhamisi May 1, 2014. Katika Jukwaa la Mwale Wa Demokrasia, ukurasa wa 19.
Inayoletwa kwako na Mwandishi radiki, Robert Lengeju
Mliounda tume kwa minajili ya kutafuta jukwaa la kutukana wazee?
Hivi ofisi ya waziri mkuu na ofisi ya makamu Rais walitoa maoni ya dhati au ya kisanii?
Je maoni yalitolewa kama chambo cha kutafutia sababu ya kumtukana Warioba?
Kwa umri alionao huyu mzee atake kuvunja Tanzania ili apate nini hasa?
Sisi wengine ni watazanzania halisi, tumelelewa kitanzania na kufunzwa adabu na heshima kwa wakubwa.
Hatukufundishwa kudhihaki waliotuzidi umri, achilia mbali waliotuzidi elimu, uadilifu na uzoefu.
Ninyi watoto mnaotukana wazee mmefilisika adabu, na nyie wazee mnaotukana wazee wenzenu mnahitaji kupimwa akili.
Usikose kusoma makala hii ndani ya Gazeti la Raia Tanzania, Alhamisi May 1, 2014. Katika Jukwaa la Mwale Wa Demokrasia, ukurasa wa 19.
Inayoletwa kwako na Mwandishi radiki, Robert Lengeju