Kama Lowassa alivuruga itifaki kumpokea Msukuma Arusha na akamruhusu aongee kabla ya waliomtangulia na huku CCM ndio usiseme wanavyomheshimu kumbe anafaa kugombea hata urais wa Tanzania.
Inasemekana katika ukoo wao yeye ndiye maskini kuliko wote ingawa chopa aliyonayo kainunua sh trilion 215 kutoka kampuni inayounda madege ya kijeshi ya kimarekani ya Texas.
Msukuma oyee ....
Kwa mara ya kwanza nilimuona Bwn.Joseph Kasheku (Msukuma) akiwa kwenye kipindi cha siasa Star TV, akatambulishwa kama Mwenyekiti wa CCM Geita.
Sikumtilia maanani sana kwa kuwa alijaa majigambo kuliko hoja, tofauti na makamanda wa SAUT ambao walijenga hoja nzito. Alionekana bwana mdogo tu hivi!
Ghafla nikasikia Mh. Mwigulu anakata mawimbi na "Chopa la Msukuma". Na leo pale kwenye Safari isiyo na Matumaini kafanya taiz kutua na Chopa.
Sasa wanaomjua vizuri watupe details, huyu ni nani hasa, katoa wapi mapesa haya yote, halafu kama vile kwa umri mdogo!!
Ni Tsh. 12.25bn/- yaani tsh. 12,250,000,000/-Hivi helkopta kama hiyo sh ngapi?
Wakuu,
Nimekua nikifuatilia sana utendaji wa Musukuma pamoja na comments zake.
Nimegundua ni mtu ambaye ana elimu ambayo ni ya chini sana.
Kilichnifanya nahisi huyu jamaa ni ana elimu ndogo mnoo. Ni jinsi maelezo yake yalivyo ya kiwango cha chini mno yasiyo ya kisomi.
Kwamfano baada ya kuachiwa kwa dhamana na alipokua akimtisha RPC.
Yaani imenibidi kupandisha uzi huu kutaka kujua cv yake.
Tujuzane cv yake, elimu na kadhalika kuhusu huyu Mheshimiwa tafadhali. Wale UVCCM tuweke vyama pembeni na tuweke cv hapa watu tujue
Wakuu,
Nimekua nikifuatilia sana utendaji wa Musukuma pamoja na comments zake.
Nimegundua ni mtu ambaye ana elimu ambayo ni ya chini sana.
Kilichnifanya nahisi huyu jamaa ni ana elimu ndogo mnoo. Ni jinsi maelezo yake yalivyo ya kiwango cha chini mno yasiyo ya kisomi.
Kwamfano baada ya kuachiwa kwa dhamana na alipokua akimtisha RPC.
Yaani imenibidi kupandisha uzi huu kutaka kujua cv yake.
Tujuzane cv yake, elimu na kadhalika kuhusu huyu Mheshimiwa tafadhali. Wale UVCCM tuweke vyama pembeni na tuweke cv hapa watu tujue
Wakuu,
Nimekua nikifuatilia sana utendaji wa Musukuma pamoja na comments zake.
Nimegundua ni mtu ambaye ana elimu ambayo ni ya chini sana.
Kilichnifanya nahisi huyu jamaa ni ana elimu ndogo mnoo. Ni jinsi maelezo yake yalivyo ya kiwango cha chini mno yasiyo ya kisomi.
Kwamfano baada ya kuachiwa kwa dhamana na alipokua akimtisha RPC.
Yaani imenibidi kupandisha uzi huu kutaka kujua cv yake.
Tujuzane cv yake, elimu na kadhalika kuhusu huyu Mheshimiwa tafadhali. Wale UVCCM tuweke vyama pembeni na tuweke cv hapa watu tujue
PovuWe Mwenyewe kilaza, utakutanaje na CV? Ina miguu inaenda wapi?
Nahisi hawa kina josee kuna pahali nyaya zimekaa vibayaMkisema huyu Jose anaonekana elimu yake ni ndogo kwa jinsi ananyo ongea. je yule jose mkubwa mtasemaje kutokana elimu yake na vile anavyo ongea?
Usije ukijidanganya ukamtajia mtoto wako jina Jose mm nimeshudia wakina jose wengi ni wasumbufu.Nahisi hawa kina josee kuna pahali nyaya zimekaa vibaya
Muwe mnajiongeza, CV za wabunge wote ziko kwenye tovuti ya bunge!.Yeyote mwenye CV za Mbunge Wa Geita Bw.Msukuma atupie humu haraka sana.