Joseph Mbilinyi (Sugu), ni noma

Joseph Mbilinyi (Sugu), ni noma

lendila

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
5,805
Reaction score
4,374
mh :sugu ni noma sana,nimemuona kisiwa cha mafia anashawishi wananchi wajitokeze wajiandikishe kwa wingi kwenye bvr na wapigie kura ukawa

ukawa mwaka huu wameamua kufanya kampeni ya kisasa,mtu kwa mtu,angani na aridhini safi kamanda sugu
 
lendila

hivi mtu mjinga kama sugu na watu kumsikia na wao watakuwa wajinga vilevile
 
Last edited by a moderator:
lendila

Kamanda sijakuelewa unaposema ni noma unamaanisha nini? Sugu siyo wa kwanza kuwambia watu wajiandikishe.

Bavicha bana.
 
Last edited by a moderator:
Wajanja wameimaliza nchi kwa ufisadi,rushwa,wizi,ubabe,dharau..acha tuwajaribu wajinga nao watutawale
 
Wajanja wameitafuna nchi lwa ufisadi acha tuwachague wajinga labda watatusaidia
 
Nilijua tu kuwa hawa magamba lazima watakuja kunanga hii post.
kama ilivyo ada washavamia kuja kutusi
 
Back
Top Bottom