Manndasori
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 286
- 258
Kakate rufaaHaya ni matumizi mabaya ya fedha za wananchi Rais anapanda Jet kutoka Dodoma na kurudi sababu ya kuhudhuria birthday party ya mbunge mstaafu? kweli jamani? Kwa gharama za serikali
Kakate rufaaHaya ni matumizi mabaya ya fedha za wananchi Rais anapanda Jet kutoka Dodoma na kurudi sababu ya kuhudhuria birthday party ya mbunge mstaafu? kweli jamani? Kwa gharama za serikali
Sukuma gang hamjavunja tanga tu? Hatarudi hata mfanyejeHuyu Rais aambiwe kua Rais sio sawa na mwenyekiti wa VIKOBA aheshimu Taasisi ya Urais , aache mambo ya uswahilini
Unajua sugu analipa kodi ngapi serikalini kila mwaka wewe kapukuHuyu mama ataalikwa mpaka kwenye singeli....Sijui yuko na matatizo gani.
Kwa hiyo umemaind siyo?Mama Samia anasema anaweza kumzaa Sugu mwenye miaka 50? How old is she?
Pia amem refer Sugu mwenye miaka 50 kama Kijana, ni upi ukomo wa Umri wa kuitwa Kijana?
Chuki kwa waliokuzidi haitakuacha salamakesho utasikia yuko kwenye birthday ya MWIJAKU.... Huyu mama amalizie miaka yake mitatu atupishe
JiueNimejisikia aibu sana Rais wangu kushiriki jambo kama hili.
I feel ashamed.
Yule hakuwa binadamu ni shetwaaaniNa mimi naungana na Sugu kumshukuru raisi, yule mwingine alikataa siyo tu kumtibu Lissu bali ata asiombewe kwa Mungu
Hivi wasukuma mmelogwa na naniAnalazimisha kuonekana mwema kwa kuteka akili za wajinga hii ndo demcracy waliokuwa wakipambania siku zote kupga pcha na haaangaay
Na ndiyo maana yuko motoni anatesekaNa mimi naungana na Sugu kumshukuru raisi, yule mwingine alikataa siyo tu kumtibu Lissu bali ata asiombewe kwa Mungu
Hata mimi nimeshangaa sana; kimoyo moyo bajisemea Inaoneka yale mambo aliyaanza akiwa na miaka 10 mpaka ajione anaweza kuzaa mtu wa miaka 50Mama Samia anasema anaweza kumzaa Sugu mwenye miaka 50? How old is she?
Pia amem refer Sugu mwenye miaka 50 kama Kijana, ni upi ukomo wa Umri wa kuitwa Kijana?
Mfufueni yule kule chato aje kuendeleza alipoishiaSamia inaonekana akifika ofisini asubuhi...anaulizia mialiko ya kwenda....huyu atahudhuria mpaka kitchen party na singeli...hatuna rais..
Ye pesa zake za ubunge na uwakili alifanyia nini? Au ndio alikuwa anawahonga kina moza?Yule hakuwa binadamu ni shetwaaani
Wengi wao ni WAJINGA NA MALIMBUKENI mara wapatapo pesa!Hawa wasanii sijui pesa wanapeleka wapi jay tangu kitambo na ubunge juu hawezi kujitibia na mkewake anamiliki shule lakini bado tu
USSR
Kaa kwa kutulia wewe mfuasi sugu wa mfuUmekariri kua kila mtu humu ni shabiki wa mambo ya kisiasa,naona fixed mind mentality inakutesa.
Hili tukio limempa Political milage kubwa sana Mama Samia kama Mwanasiasa kuliko hata Sugu ambaye ndiye mwenye shughuli.. Kumbuka ana Uchaguzi 2025, na hii ni mikakati ya kuelekea huko..Huyu Rais aambiwe kua Rais sio sawa na mwenyekiti wa VIKOBA aheshimu Taasisi ya Urais , aache mambo ya uswahilini