Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,919
- 7,768
Huyu ni waziri kivuli wa Utamaduni lakini cha ajabu hakemei wala hasemi neno juu ya matumizi ya lugha za kigeni kwenye majarida, miswada ya sheria na kwingineko
hiivi maana ya kukaa kimya ni nini?
Freeman kama huyu jamaa kashindwa kazi tuwekee mchapa kazi ambaye anaweza kusimamia mambo haya
sasa badala ya kuwakomalia walioko madarakani mnataka kuwabana walio nje ya madaraka. Sasa imagine kuwa Mbilinyi kasema na kakemea then what? Utakuwa umeridhika na kujisikia vizuri!
Ingekuwa ajabu sana kama ungechangia mjadala huu bila kuitaja MoU (sijui kwa nini waisilamu wengi wakisikia MoU wanajua ni makubaliano ya kanisa na serikali, hawajui kama mbali ya kanisa na serikali, kuna MoU nyingine nyingi tu!). Kwa kuwa MoU si mjadala hapa, turudi kwenye barua ya sensa!
Huyu ni waziri kivuli wa Utamaduni lakini cha ajabu hakemei wala hasemi neno juu ya matumizi ya lugha za kigeni kwenye majarida, miswada ya sheria na kwingineko
hiivi maana ya kukaa kimya ni nini?
Freeman kama huyu jamaa kashindwa kazi tuwekee mchapa kazi ambaye anaweza kusimamia mambo haya
Tanzania tuna tatizo kubwa sana, nadhani alichotaka kusema mtoa uzi sio hicho kinachojadiliwa, yeye alitaka watu waone usahihi wa lugha ilivyotumika. Suala sio kiingereza bali sio kiingereza sanifu.
Kwa maana hiyo, tatizo ninaloliongelea hapa ni uwezo wetu mdogo wa kuandika lugha kwa usahihi. Na tatizo sio la kiingereza au lugha yeyote ya kigeni ila hata lugha yetu adhimu, ya kiswahili. Tunafanya makosa mengi ya kiuandishi na hata wakati wa kuzungumza.
Nadhani hii ni fursa ya kiuchumi, wajitokeze wataalam wa lugha( fasihi andishi na fasihi simulizi) soko la ndani bado ni kubwa na wanaweza hata kuwasaidia watoto wetu.
Absolutely true!Yes; una 'idea' ila umezunguka mbaaaaaali bila ku-hit the target. Nadhani mada inachokoza na kudadisi kitu kimoja tu MFUMO WETU WA ELIMU. Whether ni Kiingereza, Kiswahili, au hata Kiarabu - in short tuna tatizo kuu katika elimu na kama hawa ndio aina ya 'watendaji' wetu huko serikalini na hasa 'halmashauri' ambao ndio wako karibu kabisa na wananchi basi tutegemee anguko kuu.
Serikali makini inatakiwa ku-review kwa haraka mno mfumo wetu wa elimu kuanzia ngazi ya familia hadi vyuo vikuu. "St. Kayumbas" hazijaanza kuingiza outputs wao kwenye system na hali iko hivi; sijui watakapowasili hali itakuwaje!
Huyu ni waziri kivuli wa Utamaduni lakini cha ajabu hakemei wala hasemi neno juu ya matumizi ya lugha za kigeni kwenye majarida, miswada ya sheria na kwingineko
hiivi maana ya kukaa kimya ni nini?
Freeman kama huyu jamaa kashindwa kazi tuwekee mchapa kazi ambaye anaweza kusimamia mambo haya
Huyu ni waziri kivuli wa Utamaduni lakini cha ajabu hakemei wala hasemi neno juu ya matumizi ya lugha za kigeni kwenye majarida, miswada ya sheria na kwingineko
hiivi maana ya kukaa kimya ni nini?
Freeman kama huyu jamaa kashindwa kazi tuwekee mchapa kazi ambaye anaweza kusimamia mambo haya
Bora hata ya Sugu kachapia lugha ya kigeni kuliko wewe unyechapia hata kiswahili umesema hailuhusiwi badala ya hairuhusiwi nani zaidi ya mwingine wacha kuropoka bila kutizama wewe umekosea wapitatizo kiswa english, maadili ya lugha hayaluhusu, mswahili hato elewa pia mwingereza hatoelewa, tumia lugha moja kufikisha ujumbe sehemu husika.
Wahitimu wa necta hao chini ya ndalichako.
Dah?! mkuu Zanzibae huru, kuna mambo kadhaa labda hujayaelewa au umeyaelewa na kupuuzia/kupotosha:
1.Sidhani ni haki au uungwana kutumia lugha hiyo kwa Joseph Mbilinyi(MB)
2.Inawezekana hujafahamu majukumu ya Serikali kupitia wizara husika na majukumu ya wizara vivuli.
3.Imani yako kwa Serikali ni kubwa kiasi cha kuamini kuwa kila wanapokosolewa/kushauriwa hukubali (CONSTRUCTIVE CRITICISM)
4.Tuhuma/malalamiko yako yangemhusisha kwanza Waziri wa Wizara husika na kujiuliza amefanya nini so far, and in addition kwa kushiriliana na Waziri kivuli wamekubali vipi ushauri waliopewa/au umekataliwa kwa misingi ipi.
Mwisho, ni vizuri kujua nani anahusishwa(The right channel) kwa sababu huyo uliyemtaja ni waziri kivuli(Yaani hata kama Waziri hatakuwepo, haimanishi kuwa yeye atakaimu ila Naibu wake), shortly yuko nje ya System(hatamu ya uongozi).
Huwezi kumlaumu Mh. John Cheyo/Prof. Lipumba/Dk. Slaa kwa makosa/uzembe uliofanywa na Rais(Just mfano tu mkuu).