Damian J Ntundagi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 1,633
- 2,300
Ila amechezea sana pesa Kuna kipindi alikua ananunua assist na magoli kwenye mashindano ya afcon
Ngoja tuone mataga ya CCM yatajibu niniWapumbavu na walevi wengi wa mamlaka huku Africa huwa wanawaza namna hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nilifurahi Sana alivogeukwa anasomeshwa namba sasa kama watakavogeukwa watarajiwa.Altaka kumtumia Wa sasa awe loudspeaker akishika remote mambo yamemgeukia safi Sana.Maisha ni upepo siti ya daladala haina mwenyeweTunawaambia siku zote kwamba watu wakue kuna mwisho, na gharama za mabaya zitalipwa hapa hapa Bongo.
CCM hawajifunzi hata kwa yanayoendelea huko Duniani. Wanaamini wanavyoamini wanaamini hii nchi ni yao.
Bint wa José Eduardo dos Santos aliyekuwa Rais wa Angola ameanza kuandamwa na Utawala mpya.
José Eduardo dos Santos mwenyewe alikuwa pia katili na alikandamiza upinzani vilivyo na upendeleo wa kila aina.
Na tukumbuke Rais wa sasa alipandikizwa na José Eduardo dos Santos ila jamaa kamgeuka.
Wakina Bashite and company kumbuka kuna siku mtalipa gharama za mnayoyafanya hata kama ni baada ya utawala wa 4 kutoka sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utajiri Wa kuibia wananchi toka kwa baba mtu na sio utajiri Wa kutafutaMwanamke tajiri zaidi AFRICA