Kayabwe
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 355
- 51
Ni karibia wiki y pili sasa ipite tangu tulipopashwa kupewa hilo boom .Ofisi ya loan board hapa chuo eti wametumiwa majina lkn bank pesa bado.Vyuo jirani tulivyotangulia kufungua semister wamepata boom lapili kama MUM na SUA.Nadhani kuna ufisadi hizi pesa wanazifanyia biashara,JUCO tuamke!!!.