mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 623
- 430
Tokea jamaa E.A.Musiba amefariki sijui kama tutapata tena. ilifaa familia yake isimamie tena uchapaji wa vitabu ili visipotee. ni kweli alikuwaamejikita mwenye ukombozi wa afrika na hasa dhidi ya makaburu lakini maudhui yake hayapotei.daaaah, WILLY GAMBA, bonge la sterling! na visa vya mapenzi ndani! aisee natamani nitafute na kuzisoma tena!
Cjui nin kilicho kusukuma maana umenkumbusha mbali sana, yaan nw dayz namtazama wily kama jack wa 24. Nahc vijana nw dayz wankosa uhonda, nakumbuka nliwahi kuchukua kitab cha njama bila idhin ya baba aseee, w mkuu umenkumbusha long ago big up, halafu mmoja anisaidie kujua kitabu cha MUNUKO WA DAMUi no mbili. Maana nlisoma nakala moja tu plz.
hapa unapoongea narudia 24hrs kwa mara ya sita!!!!
you guys..long time. Kuna kitabu nlikisoma nliazima library ya arusha mkoa, kinaitwa MBIO ZA JASUSI..dah kilikua nooma. those days..
Ulikuwa unajisikiaje unapomuona mwenzako ameshika KUFA NA KUPONA, NJAMA, KIKOSI CHA KISASI, KIKOMO ama SALAMU TOKA KUZIMU, TUTARUDI NA ROHO ZETU?, LAZIMA UFE JORAM, MIKONONI MWA NUNDA, NAJISIKIA KUUA TENA!!!HEBU KUMBUKA ULIPOKUWA UNASUBURI ZAMU YAKO NA WEWE UAZIME!!!
Nimeshangazwa kujua kwamba karibia kila mwandishi bora wa nyakati hizi amefariki. Nataka tuwakumbuke na kuwaombea. Lakini ni lazima nimpongeze mwandishi bora wa nyakati hizi HUSSEIN TUWA. kwa kweli ni mkali sana hebu kwa wale wapenzi wa riwaya tutafute riwaya zake MKIMBIZI, UTATA WA 9/12 NA MDUNGUAJU
Nadhani bado nakumbuka kidogo............Ulikuwa unajisikiaje unapomuona mwenzako ameshika KUFA NA KUPONA, NJAMA, KIKOSI CHA KISASI, KIKOMO ama SALAMU TOKA KUZIMU, TUTARUDI NA ROHO ZETU?, LAZIMA UFE JORAM, MIKONONI MWA NUNDA, NAJISIKIA KUUA TENA!!!HEBU KUMBUKA ULIPOKUWA UNASUBURI ZAMU YAKO NA WEWE UAZIME!!!
Nimeshangazwa kujua kwamba karibia kila mwandishi bora wa nyakati hizi amefariki. Nataka tuwakumbuke na kuwaombea. Lakini ni lazima nimpongeze mwandishi bora wa nyakati hizi HUSSEIN TUWA. kwa kweli ni mkali sana hebu kwa wale wapenzi wa riwaya tutafute riwaya zake MKIMBIZI, UTATA WA 9/12 NA MDUNGUAJU
yeah,mtunzi wa kabwe makanika,JITU KUMBUKA alikua zahily ally zorro babake banana zorro.walikuwepo ma staring wazuri wengi... Edie Kakhi... Kwenye unyama wa mafia! Na majambazi kama Dr. MOTOWN.. AKA mzungu katili, KABWE MAKANIKA... Aka Jitu kumbuka... Akina jarufu Ram na mzee Helgal ajenti wa MAFIA tanzania... PIA KILIKUWEPO KITABU mbio za jasusi... Nakikumbuka saaaana na staring alikuwa mkali saana! Baadae tukasoma MASHIMO YA MFALME SULEIMAN... tukamuona UMBOPA.. aliefundishwa vita na UMSOLOPOGAAS! NA PIA tukasoma HADITHI YA ALLAN QUATERMAIN.. NIKAMUONA umsolopogaas na shoka lake INKSOKAZ! HAKIKA hivi vitabu vya alan quatermain niliamini ni vya kweli. Na mtunzi aliitwa H. RIDER. HAGARD. ni mwingereza maarufu sana wa karne ya 20!
Malkia mweusiNa hellen jeuri
kitabu kiliitwa unyama wa mafia,kabwe makanika alikuwa ni characteryeah,mtunzi wa kabwe makanika,JITU KUMBUKA alikua zahily ally zorro babake banana zorro.