Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
http://www.washingtonpost.com/wp-dy.../04/03/AR2008040301283.html?wpisrc=newsletter
Deputy Information Minister Bright Matonga, meanwhile, told the BBC that the ruling party had let Mugabe down and would be better prepared for a second round of voting. "This time it will be a resounding victory for the president," Matonga said.
Kama Au ingekuwa ni chombo serious na kikiendeshwa na watu serious wangekemea mapema kabisa kauli ya wale wanajeshi wa Mugabe (maana kwa kauli yao wale sio wanajeshi wa Taifa la Zimbabwe). Lakini wapi, kwa kuwa wanafanaa, wamejikalia kimya maana wanajua hata wao wakizidiwa kwenye manchi yao wanajeshi wao watafanya hayohayo. At the end of the day you have to painfully and sadly agree with NN kwamba haya maviongozi yetu ndivyo yalivyo (siamini kwamba eti wananchi wa Africa ndivyo tulivyo-haya ni maviongozi tu)!
Well i think you need to familiarize yourself with international law. Mugabe's govt is still the rightful sovereign government of Zimbabwe and it would be against international law for the AU or UN to invade Zim.. Comoro waliombwa and there was a just reason. Mugabe is wrong and anatakiwa apewe sanctions.. akizidi.. labda genocide ndio security council itapitisha the resolution yakumpiga nakumtoa. kama miloswvic.. not otherwise.. its not a matter of kujiendea tu.
Where is Mwenyekiti of AU to address this?
Ohh yes Rev. its a BIG dillema,We didn't see AU sending what you called 'peacekeepers' in Kenyan Political Crisis and certainly we woun't expect it to do so in Zim.and it leaves us with a BIG question:On what BASIS does AU Millitary Intervation Legitimate??,What are its POWERS when it comes to INTERNAL AFFAIRS SUCH AS GENERAL ELECTIONS??If we sent millitary to Comorro, will AU send special forces as peacekeepers in Zimbabwe....
With the dillema at hand....
Mnajua wakati wa Crisis ya Kenya, Mwenyekiti wa AU alikuwa kimya mpaka last minutes na tulipoanza kebehi kuwa katumwa na Bush, wakato amaadniko mengi tuu hata kumtaka KIbaki atoe shukrani pekee.
Sasa hivi nimesikia Mbeki ndiye anayeongea, sijasikia tamko la AU kutoka kwa Mwenyekiti wake au tamko la Tanzania hata kupitia Waziri wake wa mambo ya nje!
Unafiki mtupu!