Jongoo ana nini mpaka wanawake mumuogope?

Hahahahaa aseeee mbona kama ni mm umenisemea...mm anaconda nta dili nae lakini sio millipede walah naweza nikaweweseka cku nzima na ucku nkaota......

Cjui kwann.....aagh.
 
Mimi na wanaume wangu wa nguvu(la kijeshi)

Nikiona chambo/wale wadudu wanaotumikaga kuweka kwenye ndoano na kuvulia samaki .

Hao wadudu nawaogopa sana

Kuna siku nilikuwa naoga bafuni nikaona chambo mrefu kweli bafuni

Aiseeee!!wana Jf nilichomoka uchi mabafuni mbio mpaka ndani nikiwa na sabuni usoni.

Yaani sijui huwaga nawafikiriaje tu jinsi walivyo tena akiwa anatembea vile wanavyojinyonga nyonga.

Yaani nikiwaona tu mwili wangu unasisimuka vile na ngozi kuwa kama nina baridi .
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hisia tu maana hata vingine vyenye mwendo wa jongoo vinawaingilia mwilini na mnafurahia.
 

Hao unaosema wewe anaitwa Jongoo Bahari, huwa wanapatikana baharini hasa maeneo ya mtwara na Zanzibar, Kiingereza anaitwa orthurians, kwa Tanzania bara ni Marufuku kuwavua hawa wanavuliwa kwa magendo na huwa wanasafirishwa kwenda China na Japan, wako tofauti na hawa wanaoogopwa na Wanawake
 
Kumbe wanaume tupo tofauti
 
well said mkuu
 
bata nae anawala sana hawa wadudu
 
huwa wanatisha hivi hasa wawe wale wanene. kuna siku nilipita chini ya muembe akanidondokea mmoja begani uuuwi siwez kusahau, mpaka kesho sipiti wala kusimama chini ya muembe
Hukuvua nguo wewe kweli?
 
Hao tulikuwa tunaenda kwenye kinyesi cha ng'ombe kuwachukua for fishing. Unafukua samadi, unatoa mmoja mmoja kwa mikono, unatupia kwenye kikopo cha mafuta Rays, moja kwa moja mtoni kupiga kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…