Duh! huyu sabaha salum yaani kama mwanajeshi anakufa na silaha yake hao vijana wenzie walifaidi ila ana dongo zuri hajachacha kivilee ukitupia mbilimbi sio mbaya unaweza kulumangia nguna.
vyombo hivi sabaha na zuhura shaabani duh wanazeeka na uzuri wao jicho la bidada yule huniacha hoi katika wimbo wake wa buzi mashaalah alitiririka uzuri.